Mimi nakumbuka kuna mabasi yalikuwa yanaitwa Saibaba,mtoto wa simba.
Tukija wanamuziki kulikuwa three sister enzi hizo za ITV wadada fulani swaga za ulaya,mtoto wa dandu,msondo ngoma.
Upande vitu navyo kumbuka Airport ya dar ilikuwa free kuingia juu kuangalia ndege.
Lengine ilikuwa si rahisi...