Serikali hii fake sasa imekuwa kama dalali wa madini tu. Hizi nchi zinataka madini tu. Yaani kwa ujinga Watanzania tunachukuliwa ardhi yetu wanapewa Urusi eti walime! Kwani Watanzania hawawezi kulima?
Sasa eti Singapore nayo ipewe mashamba ya kulima! Tunaenda wapi
Sasa huyu Mama badala ya...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Makamu wa Rais Mhe. Balozi Dkt. Emmanuel John Nchimbi pamoja na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Balozi Dkt. Asha-Rose Migiro mara baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius...
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan amehitimisha Ziara yake ya Kitaifa ya kihistoria nchini Urusi tarehe 05 Juni 2026 na kurejea nchini leo tarehe 6 Juni, 2026.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.