zanzibari

Zanzibar is an insular semi-autonomous region which united with Tanganyika in 1964 to form the United Republic of Tanzania. It is an archipelago in the Indian Ocean, 25–50 km (16–31 mi) off the coast of the African mainland, and consists of many small islands and two large ones: Unguja (the main island, referred to informally as Zanzibar) and Pemba Island. The capital is Zanzibar City, located on the island of Unguja. Its historic centre, Stone Town, is a World Heritage Site.
Zanzibar's main industries are spices, raffia, and tourism. The main spices produced are clove, nutmeg, cinnamon, coconut, and black pepper. The Zanzibar Archipelago, together with Tanzania's Mafia Island, are sometimes referred to locally as the "Spice Islands". Tourism in Zanzibar is a more recent activity, driven by government promotion that caused an increase from 19,000 tourists in 1985, to 376,000 in 2016. The islands are accessible via 5 ports and the Abeid Amani Karume International Airport, which can serve up to 1.5 million passengers per year.
Zanzibar's marine ecosystem is an important part of the economy for fishing and algaculture and contains important marine ecosystems that act as fish nurseries for Indian Ocean fish populations. Moreover, the land ecosystem is the home of the endemic Zanzibar red colobus, the Zanzibar servaline genet, and the extinct or rare Zanzibar leopard. Pressure from the tourist industry and fishing as well as larger threats such as sea level rise caused by climate change are creating increasing environmental concerns throughout the region.

View More On Wikipedia.org
  1. TODAYS

    Angalia Tanganyika tunavyopigwa na Nchi ya Zanzibar

    Wote mnaoguswa na vita vinavyoua raia wasiyo na hatua kisa viongozi wakuu wa kimamlaka, naandika hivi poleni sana Ubalozi wa Iran hapa kuna kitabu cha maombolezo mje. MADA: Mliofika kule nchini Zanzibari mtakuwa si watu wa kushangaa kwa hili ninaloandika. Rais, Daktari Hussein Ali Mwinyi...
  2. Sifi Leo

    Wanaume wawili Zanzibar watekwa kwenye gari aina ya IST

    Kuna habari ya wanaume wawili kutoka Zanzibari ya kuwa wametekwa na watu wawili walio kuwa na gari aina ya IST nauliza kweli wanaume mnatekwa kwenye gari aina hii? Rais wa Zanzibari chukua hatua
  3. Sifi Leo

    Kwa hiyo Ikulu kubwa sasa zipo kwa matukio tu? Rais Samia katoka Ethiopia na kutua Zanzibari, kwanini Mwinyi hamkupokea?

    Kwa hiyo sasa hivi watanganyika wakiwa na shida na Rais wamfate huko kwao zanzibari wakiwa nabarua za utambulisho kutoka Kwa wenyeviti wa mitaa? Swali jingine, je matumizi ya statehouse ambazo ni chamwino na Dsm Sasa zipo MAALUMU kwa matukio TU? Rais wa Tanganyika alipotua uwanja wa Amani...
  4. Mohamed Said

    Ali Saleh Alberto alipoingia maktaba na kitabu mkononi - Zanzibari hustler

    ALBERTO ATEMBELEA MAKTABA NA KITABU "ZANZIBARI HUSTLER" MKONONI Mbele ya Ali Saleh mimi sinyanyui kalamu yangu kuandika kitu. Isome kalamu inayokata kama wembe mpya: "Leo nilifika kwa mwana historia na mwandishi maarufu na sahiba wangu Sk Muhammed Said mjini Dar. Pamoja na mazumgumzo maana...
  5. kagoshima

    Staili ya utekaji unaoendelea inashabihiana ile ya enzi za mazombi Zanzibari

    Kwa tuliofatilia siasa za zanzibar miaka ya nyuma kidogo mtakumbuka matukio mengi yanayo fanana na haya yaliyokua yakitokea huko Zanzibar. Watu walikua wanatekwa, tena usk wa manane na kuuawa au kujeruhiwa.. hivihivi kama inavyotokea bara sasa. Hii inaonyesha mwasisi wa hii project ni mtu...
  6. FourTwoNet

    Amkeni! Hili suala la Zanzibar na Tanganyika ni propaganda

    Wakuu, kuna kitu kinaitwa "divide and conquer", yaani "tawanya utawale". Kuna mifano mingi sana, wadau wa historia mna ushahidi. Ukweli ni kwamba, wapo watu wa bara wengi wenye mali na familia Zanzibari, vile vile wapo watu wa Zanzibari wengi wenye mali na familia bara. Infact wapo watu wengi...
  7. Jamhuri ya Zanzibar

    GE2025 Je, Rais Hussein Mwinyi amesaliti maridhiano na umoja wa kitaifa Zanzibar?

    https://www.youtube.com/watch?v=MCNhPjrsMLA&t=87s
  8. Mayor of kingstown

    Kwanini Zanzibari hakuna utekaji kama Bara ?

    Tupate maoni kidogo , kupitia miaka mitano nyuma umewahi kusikia utekaji wowote zanzibari kama ilivyo Tanzania Bara? Na log out
  9. Ojuolegbha

    Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais Zanzibari kuendeleza ushirikiano na Wizara ya mambo ya nje

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Hemed Suleiman Abdulla amesema kuwa Serikali kupitia Ofisi ya Makamu wa Pili wa Rais ipo tayari kutoa ushirikiano kwa Wizara ya Mambo ya Nje na Wizara nyengine za Muungano ili kuleta ufanisi mzuri wa kazi kwa pande zote mbili za Jamhuri ya Muungano wa...
Back
Top Bottom