yesu atarudi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Samia atosha tukutane2030

    Nilisema wapinzani hawa wa kudandia kila jambo hawataingia Ikulu mpaka Yesu atarudi. Washahamishia majeshi kwenye dhahabu

    Ukienda kila kwenye account ya social media ya vichwa wa CHADEMA wanajifanya kuchambua athari za nchi kuuza dhahabu. Ukiwauliza maswali madogo madogo tu hawana majibu. . Hawajui Tanzania tuna reserve ya dhahabu kiasi gani. .Hawajui malengo ya Tanzania kuhifadhi dhahabu ni yapi. .Hawajui kuwa...
  2. The Palm Beach

    Wakili Peter Madeleka: Siku Mange Kimambi akimamatwa, akashitakiwa na kutiwa hatiani kwa kesi hii, basi hiyo siku ndiyo YESU atarudi rasmi duniani😀

    Huyu Peter Madeleka huyu, sijui kwanini anaongea kwa mafumbo (rhetorically) badala ya kusema kwa uwazi tu ili Hamza Johari na Nassoro Katuga waelewe kirahisi🤔🤔😀😀 Fumbo mfumbie mjinga lakini mwerevu............................(malizia) #D9 #SAMIAMUSTGO
  3. H

    Kama Yesu aliwakomboa watu wake na atarudi kuwachukua je viumbe wengine wasiyomwabudu walikombolewa na nani na watachukuliwa na nani?

    Habari, Ni wazi waumini wengi wa Kikristo wanaamini Yesu atarudi na kuwachukua ke viumbe wengine nyani,kuku,bata,simba,nk pamoja na wasiyo wakristo walikombolewa na nani na watachukuliwa na nani au watabaki duniani?
Back
Top Bottom