Nitaandika kwa kifupi sana hii mada.
Kuna vijana wanajitafuta kutoka kiuchumi ili kukizi mahitaji muhimu kama chakula, malazi(nyumba), na mavazi kwake binafsi, familia, ndugu n k.
Sasa yameongezeka mahitaji muhimu mengine kama gari, simu za gharama n.k
Sasa kijana mpambanaji hakuna kazi...