Hivi, Jafo anadhani watu kujizima data ba kutafuta maisha nchi za watu,wanakuwa wameacha mazuri kwao? Tanzania ni nchi kubwa,tajiri ukanda huu,na bado ina fursa kwa watu wengi.
Wasaka tonge wanapokuja,si wanaofaidika ni wakazi wa maeneo wanayofanyia shughuli zao!?
Sijawahi kusikia nchi duniani...