wazazi au walezi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. M

    JamiiForums Tanzania Watoto hawawezi kuchagua dini, ni wazazi au walezi huamua! Kwanini baadhi ya dini hukataza kuhama na hutoa vitisho vya adhabu kali ikiwemo KIFO?

    Watoto hawawezi kuchagua dini ipi inawafaa; mara nyingi ni wazazi au walezi ndio huamua. Mtoto hukua akipokea anachoambiwa bila nafasi kubwa ya kuuliza au kuchambua kwa kina. Anapofikia utu uzima na kuanza kuelewa maisha kwa undani zaidi, wakati mwingine hutambua kwamba imani aliyopewa...
  2. Robert Heriel Mtibeli

    JamiiForums Tanzania Ongezeko la single mothers ni matokeo ya Wanawake wengi kujirahisisha na kutotii wazazi au walezi wao.

    ONGEZEKO LA SINGLE MOTHERS NI MATOKEO YA WANAWAKE WENGI KUJIRAHISISHA NA KUTOTII WAZAZI AU WALEZI WAO. Anaandika, Robert Heriel Mtibeli. Hakuna lugha nyingine ya busara zaidi ya hiyo. Ongezeko la single mothers kwenye Jamii yetu na duniani ni matokeo ya wanawake wengi kujirahisisha...
  3. Mama Edina

    JamiiForums Tanzania Wazazi tunapitia magumu mno katika malezi, watoto wana mbinu ovu

    Kila mzazi anachukizwa na tabia ya watoto kujiingiza kwenye mahusiano ya kimapenz shueni. Watoto wawapo shuleni hasa kizaz hiki wanakuwa na wapenzi wao. Wengine wanakuwa ile kimakuzi tu ni mpenz na wanashare chakula, na upendo ila si kimahaba kama ilivyo miaka hii. Hivi sasa watoto kwanza wana...
  4. Richard mtao

    JamiiForums Tanzania Hivi sasa jamii zetu zinapitia wakati mgumu sana katika malezi ya watoto ukilinganisha na jamii za miaka ya yuma

    Hellow JF. Hivi sasa jamii zetu zinapitia wakati mgumu sana katika swala la malezi na makuzi ya watoto ukilinganisha na jamii za miaka ya yuma. Hivi leo kumekuwa na visa vingi sana mitaani vikahusishwa na malezi pamoja na makuzi ya watoto. Leo jamii zinalia juu ya tabia na mienendo ya watoto...
  5. Rebuild

    JamiiForums Tanzania Wazazi Wanaume tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu

    Habari wakuu. Wazazi WANAUME tuwekeni mazingira mazuri Kwa watoto wetu. Umaskini ni mbaya Sana Tena Sana. Unaleta ugomvi kwenye familia na pia umaskini unatenganisha familia. Soma Pia: Kama umezaa watoto wengi na unaishi Tanzania au Afrika laana ya umasikini itakutesa sana wewe na uzao wako wote
  6. Waufukweni

    JamiiForums Tanzania Aunt Sadaka: Mtoto akichora chora friji muache, anathubutu!

    Kumekucha wadau! Leo nikiwa namsikiliza Aunt Sadaka, Mwanasaikolojia na Mshauri wa masuala ya Malezi, Ndoa na Mahusiano kwenye redio, nikajikuta nakumbuka mambo ya utotoni na vile vipondo. Aliweza kuzungumza kwa kina kuhusu jinsi wazazi au walezi wanavyopaswa kuwaachia watoto wao nafasi ya...
Back
Top Bottom