Tarehe 26-28 watakamatwa viongozi wote wa Upinzani!
Watu wenye influence kwenye Jamii
Watafungiwa Kigamboni na Kivule hadi Uchaguzi wao feki uishe! Wanaogopa maandamano, ni maelekezo tayari wametoa.
My take:
Hawa jamaa wamepanick, kukamata hao watu ni sawa na kwenda kuchochea moto zaidi...
Historia ya tabia za jinsia moja katika Kandahar na maeneo ya Asia ya Kati:
Katika baadhi ya jamii za kihistoria, hasa zile zenye mfumo wa kijeshi au wa wanaume pekee (patriarchal), kumekuwa na ripoti za mahusiano ya kimapenzi baina ya wanaume.
Katika baadhi ya sehemu za Afghanistan (ikiwemo...
Badala ya kuongelea mabadiliko ya katiba kuongelea tamaduni ambazo ndizo zimeleta umasikini
Polepole hatutaki tamaduni za CCM zimeleta umasikini mkubwa nchini. Watanzania wanataka maendeleo na mabadiliko ya katiba
Wafuatao ni Viongozi na Watu Mashuhuri watakaohudhuria mazishi ya Papa Francis tarehe 26/04/2025 huko Vatican.
1. William Ruto, Kenya
2. Dkt Philipo I. Mpango (PhD), Tanzania,
3. Mstaafu na Mgombea Nafasi ya Ukurugenzi WHO.
4 Keir - Waziri Mkuu UK,
5. Kagame - Rwanda,
6. Museveni - Uganda.
7...
Unapopenda show off kuonyesha ndinga kali mitandaoni hakikisha kwenye mfumo wa mamlaka ndinga Yako haina vipengele yaani physical na rekodi Zinafanana other wise unawapa watu kazi za kufanya na wanachukia mnavyojificha kwenye kivuli cha chawa wa mama.
More Focus ni kwa wale mnaofanya import...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.