wasomi wa tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mindyou

    Kumbukizi: Mmachinga msomi alivyoiwashia moto Serikali baada ya kupiga marufuku biashara ndogondogo maeneo mbalimbali ya Dar

    Wakuu, Oct 25, 2021 mahojiano na machinga Kariakoo kufuatia agizo la Mkuu wa Mkoa Dar wakati huo Amos Makalla kupiga marufuku shughuli za kibiashara ndogondogo katika maeneo yasiyo rasmi kama juu ya mitaro, mbele ya shule za serikali au taasisi za serikali, pamoja na hifadhi za barabara zote...
  2. Traxtion

    Tanzania ina watu wengi magenius sana wenye IQ kubwa hususani vyuoni lakini serikali halijui jinsi ya kuwatumia

    Mbeya University of Science and Technology (MUST) Hiki chuo mnakifahamu? Moja ya vyuo vyenye watu magenius hapa Tanzania ni pamoja na hiki chuo. Ubunifu unaofanyika kwenye hiki chuo unaweza sema ni wanafunzi wa Kichina, kumbe ni wa hapahapa Bongo. Kwa mtu anayejua chuo cha MUST nadhani...
  3. Mama Ametufikia

    Kabla ya kudharau wabunge wa darasa la saba ebu tuangalie mchango wa wabunge wasomi wa Tanzania tangu nchi ijipatie uhuru wake .

    Watanzania Wengi Ambao wanadharau wabunge , naomba watupe mchango wa wabunge ambao wamesoma wamelifanyia nini Taifa la Tanganyika.
  4. DR HAYA LAND

    Wasomi wa Tanzania wengi, hawana uwezo wakushindana kimataifa kwakuwa Elimu yao ni ya maelekezo na ya kukariri .

    Hapa Tanzania huwa nikiwaangalia Wasomi , unaona kabisa Elimu yao ni kukariri na ya maelekezo. Kilichomsaidia TAL kuwa na ufanisi wa juu wa sheria ni kwakuwa anajisomea , kujifunza mambo mapya kila siku. Wasomi wetu hawa tulionao Tanzania , Sifikirii hata Kama wanaweza kushindana katika soko...
  5. Prof_Adventure_guide

    Kuporomoka kwa Maadili ya Ajira: Mfumo wa Upendeleo Unavyohujumu Matumaini ya Wasomi wa Tanzania

    Huu ni ukatili wa mfumo wa ajira ambao unaendelea kunyonga ndoto za vijana wa Kitanzania waliokaanga akili darasani, wakavumilia kusota kwenye maktaba, wakaishi kwa mihangaiko ya boom isiyotosha, leo hii wanaishia kuwa “maboys wa mitaani” au “madame za kwenye saluni”, ilhali wana vyeti...
  6. Loading failed

    TRA kuna fani hazipo kwenye job careers yenu nini mustakabali wake kwa wasomi wa Tanzania

    Ndugu .. Kama kichwa cha habari kinavyosema hapo, Kuna fani hazipo kwenye job careers ya TRA. Mustakabali wake ni upi zimekaaje na kwanini hazipo ,je fani zinazotolewa na vyuo vya Tanzania hazijulikani zote. Je, mamlaka mnatusaidiaje wasomi ili fani zetu zote ziwepo kwenye career ya TRA ili...
  7. Stephano Mgendanyi

    Mbunge Abdallah Mwinyi: Elimu ya Chuo Kikuu haina umuhimu kwenye Ajira

    "Elimu mheshimiwa Mwenyekiti elimu ni mambo matatu elimu ni access, elimu ni quality, elimu ni relevance na tukianza na access wangapi wana fursa ya kwenda shule, la pili quality elimu yetu ina kiwango gani,. La tatu relevance na katika ulimwengu huu tuliokuwa nao elimu ile inatusaidia vipi...
  8. GENTAMYCINE

    Acheni tu huyu Dotto Magari aendelee Kutudharau Sisi Wasomi wa Tanzania na ninakubaliana nae kwa 100%

    "Wasomi nikiwa nawasema Kutwa msiwe mnanichukia kwani nawatoeni Ushamba na nawafundisha jinsi ya Kufikiri. Unakuta Msomi ananunua Simu aina ya Iphone 15 yenye Thamani ya Shilingi Milioni Tano halafu unakuta amepakuwa App ya Bolt. Sasa kwanini hiyo Shilingi Milioni Tano yako usingenunua tu...
  9. and 998 others

    Wasomi wetu wametuangusha kwa kuendekeza njaa

    Taifa limejaa wasomi ila ukisikiliza wanachoandika (kupitia machapisho yao) na wanachoongea unaweza kulia. PhD zimejaa kwenye siasa na kuacha mediocre kwenye academia. NB: Duniani huko Scholarship na Grants zimeanzishwa kusomesha na kufadhili tafiti za kutatua matatizo pia kuwaenzi wasomi...
  10. Tajiri Tanzanite

    Wasomi wa kitanzania wanashindwa kwenda nje ya nchi kutafuta fursa mbalimbali kwasababu ya hivi vitu viwili(TOEFL na IELTS)

    Hapo vip!! Kwa awali ya yote niandike kirefu cha TOEFL ni Test of English as a foreign language na IELTS International English language Testing system . Ndugu zangu awali ya yote niseme tu nasikitika sana kuwepo na kuzaliwa katika nchi kama hii inaitwa Tanzania. Lakini pia sisi sote ni...
Back
Top Bottom