wanamtandao

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. baz kaiza

    Sina imani na huyu mwakilishi wa UN naona kama wanamtandao wameshatuzidi kete

    Huyu mwakilishi wa UN sina Imani kutokana na UN ilivyosasa ni kama kikundi fulani cha wahuni na wahuni wanaweza kukitumia pia kuwalizisha wananchi wa nchi ya kusadikika na wasichukue hatua yoyote.
  2. Yoyo Zhou

    Wanamtandao wa kigeni wamiminika “kuwa Wachina”

    Siku hizi, ukitembelea mitandao ya kijamii, huenda utashuhudia video za kuvutia kama hizi: kijana wa Ulaya ya kaskazini akivaa viatu vizito vyenye picha za panda, anakunywa maji moto ili kuongeza afya; mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Marekani anafanya mazoezi ya Tai Chi kwa makini, na mama wa...
  3. Griss

    December 9 imekaa vibaya Sana kwa Wanamtandao

    Wanamtandao wanakata tawi walilokalia wanafikili wataanguka walala hoi pekee? Nawaambia tawi likikatika wakwanza kudondoka Ni mafisadi. Wananchi hasa vijana hatuna Cha Kupoteza Endeleeni kushupaza shingo muone tunavyoenda kuwashughulikia Yaani mpaka sasa bado tu hamjui vijana ndani ya mfumo...
  4. October 2pm

    Nathibitishiwa hapa kiongozi wa banana republic ni mateka wa wanamtandao

    Mwakumbuka nilikuwa chawa wake. Nilimhusudu. Aliwahi sema hataki kuendelea lakini weeeh weee! Akaambiwa kelele. Hutaki utakuwa wataka utakuwa. Ole weeye upenge hata kamasi. Bibiye aliya aliya wee. Wahuni hawajali. Atishiwa basi bibiye mwenyewe aogopa akakubali. Nye Nye Nye afu hiyo ya MO29...
  5. October 2pm

    Kuna mtu anatolewa kafara na wanamtandao soon

    Hajijui. Yupoyupo! Anajiendea. Hasomi mchezo. Si mbali kutokea leo. Soon as sooner. Samuya jitazame walahi. Wanamtandao washenzi sana. Set up exist Door. Kumtoa kafara ili wao wabaki salimini. Nye! Nye! Nyie! Acheni aseee! Watu wabaya nye. Na bado
  6. Carlos The Jackal

    GE2025 Asalaleee Tarehe 29 Oktoba ni Tanzania Mpya !!! No more Wahuni, No more Watekaji, No more CCM , No More Wanamtandao!! Ni Tanzania Mpya

    Wakuuu , Acheni hawa Wapuuzi wawateke watu waloamua kuelezea Hisia zao Mtandaoni !!. Waacheni Waendelee kumsumbua LISSU na kesi ya mchongo !!. Nguvu yao Iko wazi , Hawana Nguvu Tena , Tumeshawajua wote Kwa Mihuri yao !!. Sisi Nguvu zetu haziko Wazi ila ni nguvu DHAHIRI , PAWA KWELIKWELI...
  7. comrade_kipepe

    Wanamtandao pia wanatumia nguvu za giza

    Nimeshtuka hapa usingizini sasahivi natoa jasho mbaya, nimeota nipo chini ya ulinzi nmezungukwa na watu 6 nikiwa nimepiga magoti, mmoja amekaa kwenye kiti ananiuliza "ULE UJINGA WAKO ULIOKUA UNAANDIKA KULE JAMIIFORAM UMEONA ULIPOKUFIKISHA!" hivi hawa jamaa ni mashetani kiasi hiki aisee wanakuja...
  8. baz kaiza

    Msiofahamu, Balile ni Miongoni mwa wanamtandao

    Balile ni kijana wa Rostam anatumiwa na Wanamtandao mpuuzeni mfutilie Istoria yake ametokea wapi ameshafanya kazi kwenye kampuni ya Rostam na Chanel ten huyo ni kijana wa wana mtandao
  9. technically

    GE2025 Wanamtandao na Yanga ni mapacha?

    Rostam ni mwanamtandao na ni yanga Kikwete Ni mwanamtandao na ni yanga Fatma Karume Mwigulu Hersi Mavunde Ridhiwani GSM Maulidi kitenge Na wengine list Ni ndefu Sio bahati mbaya yanga Kutoa million 100 kwa Samia Huu mtandao ni ngumu Sana kuuangamiza
  10. M

    Vita kati ya Wanamtandao na wanaojiita wazalendo lazima iishe kabla ya kura kupigwa. Kura zikipigwa tu Wanamtandao wameshinda

    Kwa mnyukano huu jinsi ambavyo sasa umekuwa dhahiri na watu kutajana majina na kutuhumiana juu ya kifo cha Magufuli basi ni dhahiri kabisa ili wazalendo wawe wameshinda basi kwa vyovyote vile lazima wahakikishe wagombea waliojipitisha kutoka hili kundi la mtandao hawafiki siku ya kupigwa kura...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kibonde: Polepole ni mmoja wa wanamtandao ambao walikuwa wanataka kumwondoa Rais Samia asigombee urais

    Mgombea wa Urais wa Chama Makini Amshukia Polepole. Aendelea kumnadi Samia. Katika hali ya kipekee katika siku ya kwanza ya uzinduzi wa kampeni za Chama Makini, mgombea wa Urais wa chama hicho Coaster Kibonde amemshukia vikali Humphrey Polepole. "Naomba Watanzania wenzangu popote...
  12. Sales man

    Familia ya kikwete inamiliki 1/3 ya uchumi wa Tanzania , polepole akifika hapa watu wataamka.

    Familia ya kikwete inamiliki uchumi wa Tanzania 1/3 . Diaspora wengi jinsi ambavyo wamekuwa wakifanyiwa sabotage katika uwekezaji . kwa kunyimwa Vibali n.k Hii ndo maana Diaspora hawataki kumsikia kikwete .
  13. ngara23

    Kundi la 'Wana Mtandao' tunalikomeshaje?

    Polepole ambayo ameshika nafasi nyeti kwenye chama na Serikali amethibitisha Kuna kundi Kwa jina la wana mtandao, ambalo hilo lipo juu ya serikali yaani Kwa kifupi serikali inatii kundi la wanamtandao Pole ametaja machache 1. Kundi la wanamtandao liliweza kumtoa uhai Rais awamu ya 5 2. Kundi...
Back
Top Bottom