wambura

  1. G Sam

    JamiiForums Tanzania Ukiacha waliokuwepo yaani Sugu na Prof. Jay, msanii mwingine anayefaa kuungana nao ni Judith Wambura peke yake

    Hivi hawa wasanii wanaojitokeza eti wanataka kuwania ubunge wanajipima kweli? Kwakuwa wameona wanaweza kupata dezo kutokana na upuuzi unaoendelea ndani ya CCM kwa sasa basi wameona sehemu ya wao kupata mpunga wa laini laini ni kwenye ubunge! Hovyo kabisa kabisa Sasa wamegeuka watu wa kusifia...
  2. Changes boy

    JamiiForums Tanzania Dodoma city photo

    Picha Kali za dodoma. Makao makuu na jiji
Back
Top Bottom