Nimesikiliza kwa makini sana interview Yako na Jambo Digital Tv Online, mwishoni Mwandishi akakuuliza yake yaliyotokea Tarehe 29 Oktoba 2025 ukamjibu iundwe Tume ya Mahakama ya Truth and Reconciliation kama Ile ya Askofu Desmond Tutu ya South Africa ili wahusika wawajibishwe na Viongozi wa Dola...
Huyu Peter Madeleka huyu, sijui kwanini anaongea kwa mafumbo (rhetorically) badala ya kusema kwa uwazi tu ili Hamza Johari na Nassoro Katuga waelewe kirahisi🤔🤔😀😀
Fumbo mfumbie mjinga lakini mwerevu............................(malizia)
#D9 #SAMIAMUSTGO
Wakili Peter Madeleka ambaye pia ni Mgombea Ubunge Jimbo la Kivule kupitia chama cha ACT Wazalendo leo Septemba 25, 2025 akizungumza na waandishi wa habari ameelezea kisa cha kesi ya Johanna Chifunda namna ambavyo Mahakama imeshindwa kutoa haki na Jaji Hemedi kutozingatia uendeshwaji wa kesi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.