wahubiri injili

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. hamis77

    Tujiandae kupeleka Injili Saudi Arabia na kufungua Makanisa

    Jennifer Lopez akiwa katika ardhi ya Mtume, Jeddah – Saudia Arabia – akiwaselebusha Waarabu (maquresh), imekuwa ni picha ya ajabu na ya kushangaza kwa wale ambao bado wanaiheshimu ardhi hiyo kama tukufu. Muziki wa Kimagharibi, densi za uchi, na uropokaji wa kibepari vimegeuzwa kuwa burudani...
  2. Zanzibar-ASP

    Jifunze namna rahisi ya kuwatambua wahubiri wa uongo, mahubiri na imani za kitapeli katika ukristo

    Kumekuwa na wimbi kubwa la mahubiri, imani potofu chini ya mwamvuli wa ukristo kiasi cha imani hali ya kikristo kuonekana ni uongo, utapeli, uzushi nk. Athari zake zimekuwa mbaya kwa waumini wengi wa kikristo. Mwanzoni lilikuwa linaonekana kama ni tatizo la wakristo wachanga tu lakini kwa sasa...
  3. Suley2019

    Dkt. Mpango: Wahubiri wa dini wanajilimbikizia mali

    Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango Makamu wa Raisi Dkt. Philip Mipango akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan katika kilele cha Maadhimisho ya Jubilei ya Miaka 50 ya Kanisa la New Life Outreach iliyofanyika katika kanisa hilo Sakina mkoani Arusha amegusia...
  4. Yoda

    Miyeyusho ya Wahubiri Injili wa kisasa inahitaji kukosa D mbili kuwaamini

    Mshirika akiwa na uhitaji wa pesa anaambiwa inabidi aombwe maombi apate pesa au mafanikio lakini wahubiri wenyewe wa kisasa wakitaka pesa wanasisitiza sana washirika wamtolee mungu matoleo ya sadaka, Sasa kwa nini na wao wenyewe wasiombe na kumsubiria mungu awape baraka. Kuna wengine wanatembea...
Back
Top Bottom