AJIRA 5000 ZA WALIMU AMBAZO KIBALI CHAKE KILITOLEWA NA HAYATI DR. JPM ZIMEISHIA WAPIII?swali kwa TAMISEMI chini ya waziri UMMY MWALIMU!
#Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan,
#Katibu mkuu kiongozi muheshimiwa Katanga,
#Waziri Mkuu wa JMT, Mh. Kassim Majaliwa Majaliwa...