wahitimu wa degree

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    KERO Wahitimu wa Degree ya Microfinance and Enterprises Development tunakuwa Auto-Rejected kwenye Ajira Portal

    Kuna Changamoto Ambayo Tunaipata Sisi Wahitimu wa Degree Ya Microfinance And Enterprises Development tunakuwa Auto Rejected kwenye Ajira Portal Wakati hata sisi kweye Core za Masomo yote tunatambulika kama watu wa Fedha (Finance) pia hata kwenye vigezo vya Ajira kabisa hata sisi tumo ila tunakua...
  2. A

    Naomba kujuwa ikiwa ulifanya mtihani wa kurisit kidato cha nne na unahitaji kutumia cheti hicho katika mfumo wa ajira porta

    Wakuu naomba kujuwa ikiwa ulifanya mtihani wa kurisit kidato cha nne na unahitaji kutumia cheti hicho katika mfumo wa ajira porta, unatakiwa uweke mwaka ulioanza shule na uliomaliza na namba ya mtihani na uambatanishe na cheti, Je ukiweka mwaka uliomaliza shule na namba ya mtihani yakurisiti...
  3. Waufukweni

    Mkurugenzi Mkuu VETA: Hata wenye PhD wanakaribishwa VETA

    Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) Anthony Kasore amesema kuwa sio tu wenye Shahada ya Awali, hata wenye elimu za juu zaidi kama vile Shahada ya Uzamivu (PhD) wanaweza kujiunga VETA, na wamewahi kuwa na mwanafunzi mwenye PhD ambaye amesomea masuala ya...
  4. R

    Waziri Mkuu yupo sawa kuwashauri wahitimu wa degree kwenda Veta, Kiburi cha wahitimu kimesababisha wawe watu wasio na mbele wala nyuma mitaani

    Don't Put All your hopes in One Basket, Heri nusu shari kuliko shari kamili Unakutana na kijana fresh outta chuo / college ana degree yake akiwa na mategemeo makubwa sanaaa !! huko vyuoni wamedanganyana vitu vingi sana, Uhalisia wa Tanzania ni X wao wanapeana matumani tofauti kabisa Z. Kijana...
  5. ChoiceVariable

    Waziri Mkuu Majaliwa: Wenye degree kasomeni ufundi VETA mjiajiri

    Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Kassim Majaliwa akizungunza na wakazi wa Igunga, Tabora. "Tumeendelea kuimarisha sekta ya elimu, Muheshimiwa mbunge ulisema unahitaji VETA tumeleta VETA, hizi VETA tumezijenga ili wewe ukasomee ufundi utusaide katika shughuli za ujasiriamali VETA...
  6. R

    Miaka 25 - 35 ndio umri mgumu zaidi kwa vijana wahitimu wa degree, Presha ya kupata mafanikio au kuwa mtu wa level fulani inakuwa ni kubwa mno

    Wahitimu wa degree wanaopitia changamoto za kiuchumi hupata msongo wa mawazo kwa sababu jamii huwa na matarajio makubwa kwao. Jamii huamini wanapaswa kuwa wajanja zaidi kwenye fursa hata wasipopata ajira. jamii huwashusha thamani na hata kuwatania vijana hawa inapoona kuna vijana wenye elimu ya...
  7. W

    PreGE2025 Tito Magoti: Wahitimu acheni kutumika kupush hashtags, tafuteni kazi za kuwapatia kipato

    Wakili na mwanaharakati Tito Magoti amewataka wahitimu kuacha kutumika kusambaza hashtags na badala yake watafute kazi za kufanya za kuwaingizia kipato wasitumike kama TP. Kupata taarifa na matukio yanayojiri kuelekea uchaguzi mkuu kwa kila mkoa ingia hapa: Special Thread: Mijadala na Matukio...
  8. Millifire69

    Think Twice About What You're Studying – AI is Already Causing Job Losses!

    Hello fellow members, I want to raise awareness about an issue that is affecting many industries today – artificial intelligence (AI). It is clear that AI is transforming the job market, and we need to be aware of how this could impact the careers we’re working so hard for. AI is being...
  9. A

    Jamii inakuwa na mategemeo makubwa sana kwa kijana mwenye digrii kiasi cha kumfanya abague baadhi ya kazi

    Habari, Je, hii ni sawa kwamba Baba Yako ameuza mchicha na kuni na wewe graduate uuze maji na kuni? Moja ya changamoto ya jamii nyingi zinapelekea vijana wengi kuwa na msongo Kwa sababu Kila anachofanya msomi unasikia, eti mtu ana degree anauza mchicha? Mtu ana degree anafanya hivi? Guys...
  10. Nyanda Banka

    Umuhimu wa kusoma Chuo Kikuu uko wapi sasa?

    Kwanini watu wenye Certificate na Diploma wanapata ajira sana kuliko wenye Degree Daaah!! Kwahiyo tunahukumiwa na elimu yetu kisa kusoma kwa bidii jamani
Back
Top Bottom