Afrika ni ngumu sana kwa baadhi ya mataifa!
Mfano mataifa ya Afrika Mashariki yanatia aibu sana katika mchakato wa uchaguzi walau Kenya kuna misingi ya Haki na sio Tanzania wala Uganda na mataifa mengine ni kunaukandimizaji wa haki mkubwa sana katika kipindi cha uchaguzi!
Ukoloni mpya unazidi...
Uchaguzi wa mwaka huu umeibua mambo ya kushangaza. Licha ya kutokuwepo kwa uwanja sawa wa ushindani wa kisiasa kati ya CCM na vyama vya upinzani, kumetokea hali ya baadhi ya wagombea waliopitishwa na vyama vya upinzani katika ngazi za udiwani na ubunge wakiwemo wale waliokuwa na ushawishi mkubwa...
Habari za uchaguzi Wakuu!
Nafikiri siku ya Leo imeenda kinyuma na lengo lilivyopangwa. Serikali iliiweka siku ya Leo kama siku ya mapumziko ili kutoa fursa kwa watu kupata muda wa kwenda kupiga Kura katika uchaguzi huu wa serikali za mitaa.
Lengo lilikuwa zuri lakini likapoteza maana baada ya...
Mtaa au kijiji gani wagombea wa CCM wameenguliwa wakabaki wa upinzani kama CHADEMA na ACT pekee ambao watapigiwa kura za ndio na hapana?
Kuna kitu nataka kujifunza.
Wakuu,
Tunaendelea kula popcorn wakati tunaendelea kuangalia movie.
====
Katibu wa Umoja wa vijana wa chama cha Mapinduzi (UVCCM) Kata ya Iwawa Benjamin Mahenge amewasihi wanaccm kujitokeza kwa wingi kuwapigia kura za ndio wagombea wao na kuachana na wa vyama vya upinzani ambao kazi yao ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.