wagombea ubunge

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. R

    Kesi ya wagombea ubunge Zanzibar na katiba ya jamhuri ya muungano

    Katika kesi inayoendelea Zanzibar ya kupinga matokeo ya ubunge Zanzibar iliyofunguliwa na chama cha ACT mwanasheria mkuu wa serikali ameweka pingamizi akidai mahakama ilipofunguliwa kesi haina mamlaka ya kusikiliza kesi hiyo. ACT imefungua kesi kwenye mahakama kuu ya Zanzibar ambayo...
  2. Roving Journalist

    PostGE2025 Mgongano wa Kikatiba Wazuka Mahakama Kuu Zanzibar Katika Kesi za Wagombea Ubunge ACT

    Mgongano wa kikatiba umejitokeza katika Mahakama Kuu ya Zanzibar kufuatia kesi zilizofunguliwa na waliokuwa wagombea wa Ubunge kupitia Chama cha ACT-WAZALENDO kwa majimbo 19 ya Unguja Mgongano huo umeibuka leo mbele ya Jaji Hajji Suleiman Khamis katika Mahakama Kuu ya Zanzibar iliyopo...
  3. R

    GE2025 Wagombea ubunge wa upinzani Chalinze wahamia CCM

    Wagombea wawili wa ubunge wa Jimbo la Chalinze, Mkoa wa Pwani, wametangaza kujiunga na Chama Cha Mapinduzi (CCM) Ikiwa zimebaki siku mbili kabla ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025 Wagombea hao ni Bw. Waziri Towakali wa Chama cha The United People's Democratic Party (UPDP) na Bw. Kamana Masudi...
  4. Meja Jenerali Isamuhyo

    GE2025 Kwa mara ya kwanza, wagombea ubunge wanaacha majimbo yao kwenda kumnadi Rais mikoa mingine, michezo hii

    Mara unaona Makonda katoka Arusha kaenda kumnadi mgombea wake wa Urais mikoa ya kanda ya ziwa na Dar es Salaam. Jimboni kwake hayupo kumpiga kampeni🤣 Nape akaacha kujinadi huko jimboni Mtama akaenda zake mikoa ya Kaskazini kumnadi mgombea wake. Jumaa Awesu akaacha kujipigia promo jimboni kwake...
  5. Parabolic

    GE2025 Wagombea ubunge Dar es Salaam wanavyomwaga ahadi zao kwa wapiga kura

    Katika kapneni za uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025, baadhi ya wagombea ubunge wa Mkoa wa Dar es Salaam, wametoa ahadi wakigusa kero za wananchi. Kwa mujibu wa Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS), mwaka 2022 Dar es Salaam ilikuwa na wakazi milioni 5.4 na ni mkoa unaokua kwa kasi...
  6. DuaZaMama

    GE2025 ACT yasimamisha wagombea ubunge

    Chama cha ACT Wazalendo Mkoa wa Dodoma, kimesimamisha Wagombea wa Ubunge katika Majimbo tisa katika Mkoa wa Dodoma, likiwamo Jimbo la Mtumba na Madiwani Themanini na nane katika ya Kata za Majimbo hayo ambapo Septemba 4, 2025 kinatarajia kuzindua kampeni zake za kuanza kunadi wagombea wao katika...
  7. peno hasegawa

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanikiwa kukusanya karibu bilioni 100 za kampeni, ila hazina msaada kwa wagombea Ubunge Wala Udiwani kupitia CCM

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimefanikiwa kukusanya karibu bilioni 100 kupitia michango ya wafanyabiashara mbalimbali nchini. Hata hivyo, kuna masikitiko makubwa miongoni mwa wanachama na wagombea wa chama hicho, hususan wale wanaowania nafasi za ubunge na udiwani. Fedha hizi, ambazo zinapaswa...
  8. chiembe

    Wagombea ubunge nchi nzima waipitie clip ya hotiba ya Prof Kabudi kama reference yao Mh. Rais anapopita maeneo yao

    Prof ameweka utekelezaji wa ilani barabara, vyema, mgombea Urais hatakiwi kuhangaika kuelezea jimboni kumetokea nini kimaendeleo
  9. Just Pray

    GE2025 Haya hapa ni majina ya wagombea Ubunge kupitia CCM katika majimbo ya Mkoa wa Mbeya

    Hii hapa Orodha ya Majina ya Wagombea Ubunge katika majimbo ya Mkoa wa Mbeya 1.Patrick Mwalunenge - Mbeya Mjini 2.Patali Shida Patali- Mbeya Vijijini 3.Dkt.Tulia Ackson - Uyole 4.Bahati Keneth Ndingo - Mbarali 5.Baraka Ulimboka Mwamengo - Kyela 6. Lutengano George Mwalwiba - Busokelo 7. Anton...
  10. Kichuguu

    GE2025 Inawezekana CCM haikuwa Makini katika kuteuwa Wagombea ubunge baada ya Kura za Awali

    Kumpitisha mshindi wa tatu kwenye primaries na kumwacha mshidni wa kwanza linaweza kuwa ni siyo tu kutokuheshimu demokrasia na maoni ya wananchi bali pia ni dalili ya udikiteta. Kuna majimbo ambao CCM inaweza kukosa kwa mfano Tarime Mjini, Tanga mjini na kwingineko...
  11. tonicimmobility

    Hatima ya wabunge CCM kubainika agosti 21 & 23

    Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimetangaza ratiba ya vikao vyake vya kitaifa vitakavyofanyika chini ya Mwenyekiti wa CCM, ambaye pia ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan. Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa na Katibu wa Halmashauri Kuu ya CCM Taifa, Itikadi, Uenezi...
Back
Top Bottom