vyandarua

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Kilio kwa wahudumu wa Afya ngazi ya Jamii, Walikuwa waandikisha vyandarua Halmashauri ya Mpimbwe Katavi

    Uandikishaji ulifanyika kwa siku saba kwa kupita kaya kwa kaya lakini wamelipwa kiasi cha sh. 50000 tu. kwa siku hizo zote. Tunaomba katibu mkuu wizara ya Afya atolee ufafanuzi suala hilo, Kwan huu ni unyanyasaji. Hata fedha ya mafunzo halimashauri ililipa sh.15000 tu.kinyume na utaratibu.
  2. Mpepetaji

    JamiiForums Tanzania MSD yaanza usambazaji wa vyandarua mkoani Kigoma

    Baada ya kuanza zoezi la usambazaji wa vyandarua Mkoani Kigoma MSD leo imeendelea na usambazaji wa vyandarua hivyo huku leo hii ikikamilisha kusambaza kwenye Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma na Halmashauri ya Manispaa ya Kigoma. Zoezi hilo linatarajia kuhamia Wilaya ya Kibondo na Kakonko. Hata...
Back
Top Bottom