Openly, kwenye media, bila uoga, Mwaipopo kajitangaza kwamba anamiliki vikundi vya kigaidi vyenye mafunzo ya hali ya juu, akivionyesha kwenye camera.
Polis hawakuchukua hatua yoyote. Badala yake polis wako bize kubambika kesi za ugaidi kwa wakosoaji wa ccm na utendaji mbovu wa serikali iliyoko...
Chama cha Mapinduzi CCM kimeanzisha, kinafadhili, kuendesha, na kulinda vikundi vyenye silaha nchini chini ya tawi lake la vijana UVCCM. Makundi haya yanatumika kuendesha utekaji, mateso kwa Watanzania wasio na hatia.
CCM kupitia vikundi hivi vya kigaidi kinawanyanyasa na kuwateka viongozi wa...
Moja kwa moja.
NB : Huu Uzi umejikita zaidi kuzungumzia harakati za chinichini za Siri na wazi za Mazayuni zenye malengo wa Kigaidi zilizopelekea kuunda Taifa la Israeli .
Kabla ya kuundwa kwa Taifa la Israel Jamii mbalimbali za Waislamu , Wakristo na Wayahudi walikuwa wakishi kwa amani katika...
Israel mara kadhaa husambaza mamilioni ya vipeperushi, kutoa nafasi ya watu kuhama kabla ya kulipua jengo linalotumika kutunza silaha, kuwa na miundombinu ya mahandaki, n.k.
Kwanini Hamas huwa hawafanyi hivi, wanapenda mashambulizi ya kustukiza na kulenga zaidi raia wa kawaida, kwanini...
Somalia inapata ugumu baada ya mambo kuzidi kwenda Kombo!
Wakati wako kwene vita ya maneno na Taifa lenye heshima kubwa Afrika kwa kutotawaliwa na wakoloni la Ethiopia, mtanange umegeuka nakua kilanga kikubwa dhidi ya Somalia hasa kwa wale wakereketwa wa “GREAT SOMALIA” baada ya Taifa dogo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.