utv

UTV Live is a Northern Irish television news service broadcast and produced by UTV.

View More On Wikipedia.org
  1. MdengestanfromCuba

    Mazungumzo ya Mfanyabiashara Rostam Aziz aliyoyafanya na UTV

    Naam wakuu ========================= Mfanya biashara na mwanasiasa maarufu ndugu Rostam Aziz anahojiwa katika kipindi kinachoruka muda huu kupitia channel ya UTV Azam Tv, lakini kipindi sio live, mahojiano yanaendeshwa na nguli wa habari nchini, Tido Mhando...
  2. JimCarrey

    UTV ya Azam Tv sio free tena

    Kifupi Azam TV wamefungia UTV sio Bure Tena, tafadhali msije mkafungia na local channel nyingine mtaua bendi.
  3. Pyremethazine

    Dj wa kipindi Cha Playlist UTV anazingua sana

    Aisee kuna sisi tunachelewa sana kurudi nyumbani hivyoo ata muda wa kukaa kuangalia Tv inakua shida. Sasa binafsi hua mara nyingi najikuta natazama taarifa ya habari ya UTV Ile ya Azam saa 6 marudio ya Ile ya saa 2. Baada ya taarifa ya habari Kuna kipindi kinafuata kinaitwa Playlist.Host wake...
  4. B

    Hongereni ITV habari, nimerudi kwenu baada ya kuhitimisha kwamba Azamtv (UTV) habari ni sawa TBC TU

    Huwezi Kuta habari kwa kina za masuala mazito yanayolikumba taifa hili UTV. Hii nchi ni yetu sote sio ya CCM pekee kuonesha habari ambazo ni za kusifia TU mama anaupiga mwingi. Kuna habari za mawakili kunyimwa ruhusa ya kuonana na kujadiliana na mteja wao Tundu Lissu kinyume na Sheria lakini...
  5. State Propaganda

    Mhariri wa Habari ya saa mbili usiku UTV kazi imemshinda?

    Tokea jana kuna mkanganyiko mkubwa na muingiliano wa Habari, hasa za kitaifa UTV. Je, Msimamizi wa maudhui ya taarifa ya habari ya saa mbili usiku katika chaneli hiyo ya Azam tv amekumbwa na nini!? Maana imeshaanza kuwa kero kwa sisi watazamaji .😠😠😠
  6. ELI COHEN

    Kongole kwa UTV kwa kuwa LIVE na chadema tangu day one, wengine walivyoona mambo yamewaka moto kesho yake ndio wakaanza ku-broadcast

    Wale wengine walikuwa broadcasted tangu day one ila ilivyofika mkutano wa chadema nafikiri ni chaneli moja ndio tu ilianza nao. Sijui ni hofu, sijui ni ushabiki wa mmpande moja?? Anyway life goes on!!!
Back
Top Bottom