utekaji nyara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Q

    Ugaidi Tanzania: Mateso, Mauaji, na Utekaji nyara wa Kisiasa unaongezeka. The Washington Post.

    February 6, 2026 Warning: This story contains graphic content. https://t.co/bwpN0QJUj7 Tafsiri isiyo rasmi. Ikimezwa na vita na idadi kubwa ya waliokufa, Afrika inaingia katika aina ya giza ambalo ulimwengu haujawahi kuona. Mto wa damu isiyo na hatia, unaoanzia Nigeria hadi Sudan, unameza...
  2. stakehigh

    Seneta Cherargei aunga mkono utekaji nyara wa wakenya

    https://m.youtube.com/watch?v=Fb0NXm8zczM Katika hotuba yake amesema, mkiwapata wakenya wafinyeni alafu warudishe tuwamalizie
  3. Echolima1

    Aliyehusika na utekaji nyara na mauaji ya Shiri, Kfir, na Ariel Bibas naye afyekelewa mbali leo hii huko Gaza

    BREAKING: IDF imemwangamiza Kiongozi wa kundi la kigaidi la Mujahidina Brigedi huko Gaza, ambaye alihusika na utekaji nyara na mauaji ya Shiri, Kfir, na Ariel Bibas. Yeye na familia yake wote waliangamizwa. Hakuna mahali pa kujificha. Israeli itawapata wote.
  4. Genius Man

    Kumchukua mtuhumiwa gerezani na mkumpeleka sehemu isiyojulikana huu ni utekaji

    Utekaji nyara ni kitendo cha kumchukua mtu na kumpeleka sehemu flani isiyojulikana, hivyo ni wazi kusema Lissu ametekwa. Kwa kitendo cha kuchukuliwa kwa Lissu gerezani na kupelekwa sehemu isiyojulikana ni utekaji nyara na kina kiuka haki za msingi za kibinadamu. Soma Pia: Lissu aondolewa Keko...
  5. N

    Orodha halisi ya nchi 90 zinazoongoza kwa matukio ya utekaji nyara, kuumizwa, na mauaji kulingana na data mbalimbali za kimataifa za uhalifu

    Kulingana na RIPOTI KUTOKA OFFICE OF HIGH COMMISSIONER FOR HUMAN RIGHTS (OHCHR)ambayo ni ofisi ya Umoja wa Mataifa inayohusika na kukuza na kulinda haki za binadamu duniani ikiwa inasimamia utekelezaji wa mkataba wa kimataifa wa haki za binadamu na na kusaidia nchi wanachama katika kuimarisha...
  6. JanguKamaJangu

    Watu 29 bado hawajulikani walipo, Polisi wakanusha kuwa na ushiriki katika utekaji nyara wa Waandamanaji waliopiga Muswada wa Kodi

    29 people still missing as police deny role in anti-tax bill protest abductions The National Police Service (NPS) has recorded 57 abduction cases since the youth-led demonstrations began on June 18, 2024, Inspector General of Police Douglas Kanja says. Appearing before the Committee on...
  7. mwanamwana

    Mbulu: Wanusurika kuuawa na gari lao kuteketezwa baada ya kudhaniwa ni watekaji wa watoto

    Watu wanne wamenusurika kifo baada ya kupigwa na kukatwa mapanga pamoja na gari waliyokuwa wakiitumia aina ya Raum kuchomwa moto katika Wilaya ya Mbulu Mkoani Manyara kwa kudhaniwa kuwa ni wezi wa kuiba Watoto baada ya kumpa pipi Mtoto aliyekuwa akipita pembeni ya gari yao waliyokuwa wanaitumia...
  8. T

    Wasafi Media wakomalia suala la utekaji na kupotea watu. Ni zamu ya mkuu wa nchi atoe tamko!

    Kwenye kipindi cha asubuhi ya leo wakati wakipitia magazeti wametumia takribani robo tatu ya muda wote wa kipindi hicho kuelezea kadhia ya kupotea kwa watu katika mazingira yasiyoeleweka huku mamlaka husika zikisalia kimya. Ukweli ni kwamba ukijaribu kuvaa viatu vya wale waliopotelewa na...
  9. Bulelaa

    Huu utekaji nyara wa watoto wetu mashuleni na mitaani kisha kunyofolewa viungo vyao, nani mhusika?

    Kule Bagamoyo shule ya Majengo na Jitegemee, watoto jumla watano wametekwa. Kule makurunge watoto sita wametekwa, waandishi wa habari mko wapi, Wana usalama mko wapi jamani. Wizara husika mko wapi? Shime shime Watanzania, leo kuna shule huko Bagamoyo watoto wamegoma kwenda shule na msimamo wa...
Back
Top Bottom