ushiriki wa vijana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Jamii Mpya Tanzania yazindua mpango wa Kitaifa kuhamasisha ushiriki wa vijana na wanawake Uchaguzi Mkuu 2025”

    Taasisi ya Jamii Mpya Tanzania imetangaza mpango kabambe wa kitaifa wa kuhamasisha wananchi kushiriki Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, ikilenga zaidi vijana na wanawake, huku ikipinga vikali miito ya kisiasa inayotaka wananchi wasusie uchaguzi huo. Mratibu wa Kitaifa wa taasisi hiyo, Ally...
  2. musicarlito

    PreGE2025 Vijana Tanzania wanaweza kubeti, kushabikia Simba na Yanga na Uchawa kwisha habari!

    Wakuu asalaam aleykum! Nguvu ya taifa lolote huwa ni vijana, katika rika hili wanaweza kufanya mambo mengi kwa usahihi na nguvu; kuanzia kufikiria kibunifu, kutekeleza mipango, nk. Mfano enzi ya akina Mwlm. Julius Kambalage Nyerere, Warioba, nk. Lakini pia nchi zilizoendelea, gunduzi nyingi...
  3. Roving Journalist

    Ushiriki wa Vijana katika michakato ya Kidemokrasia Nchini kujadiliwa katika Wiki ya Azaki

    Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la HAKIELIMU, John Kallaghe, akizungumza katika mkutano huo kuhusu ushiriki wao na mambo watakayofanya katika Wiki hiyo. Ushiriki wa makundi mbalimbali ya kijamii hususan vijana katika kutoa maoni yao kwenye michakato ya Kidemokrasia nchini, umetajwa kuwa moja ya...
  4. Cute Wife

    PreGE2025 Tufanye nini ili kuongeza ushiriki wa wanawake hasa vijana kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa 2024

    Wakuu salaam, Kama tunavyojua Uchaguzi wa Serikali za Mitaa mwaka huu utafanyika Nov 27, na cheche tushaanza kuziona katika vyama vyote. Kama ilivyo miaka yote wanaume wamekuwa wakiongeza kujitokeza kugombea nafasi hizo huko wanawake wakiendelea kubaki nyuma, na kuwaona hasa wakati wa kupiga...
  5. Forgotten

    Vijana asubuhi na mapema wako vijiweni kujadili mambo ya mpira, tutafika kweli?

    Jumanne, saa 3 hii tayari watu wamekaa vijiweni wanajadili Simba na Yanga. Hapa ndiyo nchi yetu ilipofikia, vijana kutumia muda mwingi kubishana kuhusu nani amesajiliwa na timu gani, analipwa kiasi gani wakati maisha yao yapo hohehahe. Nchi ina hali mbaya sana kama kijana akitoka tu kuamka...
Back
Top Bottom