Jeshi la Zimamoto lina jukumu la kuokoa maisha na mali. Lakini kwa muda sasa, kumekuwa na tabia ya baadhi ya maafisa kujihusisha na utapeli na rushwa wakiwa na sare rasmi za zimamoto na wengine gari ya zimamoto ambayo ikitokea maafa ya kweli hilo gari hutoliona.
Kuna tozo zisizo rasmi...
Habari wana JF. Kama kichwa cha habari kinavojieleza.
Natumaini baadhi wa members wa JF walienda kufanya usaili wa jeshi la zimamoto, hivo mtupe mrejesho kipi kilichojili uko
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.