Justice League is an American animated series about a team of superheroes, which ran from 2001 to 2004 on Cartoon Network. The series is based on the Justice League and associated comic book characters published by DC Comics. It follows the adventures of Superman, Batman, Wonder Woman, Green Lantern, The Flash, Hawkgirl, and Martian Manhunter.
Sasa unaweza kupata Vodacom unlimited PREPAID au POSTPAID BANDO za kulipia kila mwezi.
Kuungwa ni ndani ya muda mchache haifiki dakika 5.
Kigezo ni uwe na kifaa chako na kama huna tunakuuzia kwa bei nafuu.
Pia tunaunga vifurushi vya kawaida.
Ukichagua kifurushi kimoja unapata na MENU YA...
UNAWEZA nambia Kuna ulazima WA Mimi KUWA na router ILI KUWA na unlimited?
Je siwezi KUWA monitored nikiwa na unlimited Kwa card ya simu?
Kama router ni Kwa ajili ya ofisini na majumbani vipi Kwa MTU mmoja anayetaka unlimited BILA router ?
Ishakuwa fashion kutembea na mizigo mingi bag Lina...
Wakuu, October mwishoni hadi November mwanzoni internet ilizimwa.
Sasa kuna watumiaji wa unlimited internet kutoka Airtel tulikua tushalipia, lakini kwann ilo week hawajafidia? Tarehe yao ilipofika tu bando limekata?
Habari za kazi
Samahani wakuu. Natumia unlimited ya Yas. Lakini speed yake iko chini sana baada ya kurudishwa ila kabla ilikuwa vizuri. Ningependa kujua kwa wengine wanaotumia wanapata experience gani.
Dar, kwa sasa.
Unlimited ni huduma inatolewa kwa wateja wa router, kiutaratibu router za Vodacom ni bure isipokuwa mteja atalipia service ambayo ni Internet.
Package ni kama ifuatavyo.
•Router yenye Mbps 10, malipo ya awali ambayo ni security deposit ni 120,000/= halafu malipo ya Kila mwezi ni 60,000/=...
Je, Unahitaji YAS 4G au 5G UNLIMITED Router?
Kwa ajili ya Ofisi au Nyumbani kwako?
Karibu sana tukuhudumie Leo,
📢 YAS 4G+ Pocket Mi-Fi @ 120,000/=
✔️ Kifaa / Pocket ni Tsh. 50,000/=
✔️ Unlimited Mwezi 1 ni Tsh. @ 70,000/=
✔️ Battery (Masaa 6)
✔️ Malipo/Mwezi: 70,000 (10Mbps)
✔️ Vifaa 10...
YAS 5G UNLIMITED CPE 🛜🇹🇿
Sasa ni Kwa Tshs. 250,000/= tu!
Unajipatia Leo,
Kifaa bora na mahsusi kwa watumiaji wote wakubwa wa Data/Internet nchini Tanzania,
Inaweza kutumika sehemu zifuatazo:-
✔️ Watu Binafsi (Content creators)
✔️ Gaming Stations & Stationery
✔️ Saloon💅 & Babershops💇♂️✔
✔️...
Sijawahi kuwa na uhuru wa kutumia internet kama sasa baada ya kununua unlimited internet, Sina hofu ya kumaliza MB, sina haja ya kupunguza ubora wa video, siogopi video calls, sizikwepi post zeny video kwenye mitandao ya kijamii, n.k.
kuna muda nilikuwa najiunga mpaka kifurushi cha elf 5 kwa...
Kwa watu wa zanzibar naunga unlimited internet ya Vodacom postpaid kwa gharama ya Tsh.70000 (elfu sabini tu) kasi yake ni 10Mbps (postpaid)
Kwa mara ya kwanza utalipia Deposit 140000 hapa unapewa na device ya 5G au 4G na device unapata papo hapo ukilipia haina kusubili
Kwa wale wa bara...
Naunganisha YAS POSTPAID BUNDLE kwa uharaka sana
Hakuna gharama za ziada ili upate huduma
Kigezo kikubwa ni Pesa ya kifurushi chako.
UNLIMITED YA 100,000 hii tunakuunga hata kwenye simu yako ya mkononi
Wasiliana nami whatssap
+255 765 991551
Nawasalimia kwajina la jamhuri
Naomba kuuliza ivi sipati W-Fi ambayo ni unlimited kwa wastani wakama 30,000 kwa mwezi..?
kama ipo bas naomba msaada wa namna yakuipata maana hizi za 70,000 kwamwezi siziwezi
hata ikiwa ni 50,000 kwamwezi sio mbaya
Habari wana Technology,
Nipo Dar, nilipenda kupata huduma ya unlimited kwa Vodacom.
Kabla ningependa kujua kwa wanaotumia, wana maoni gani kuhusu huduma hii.
Na pia kulingana na ufuatiliaji nimeweza kuona kuna vifurushi mpaka vya 50000 unapata GB 30, ila naambiwa ni unlimited. Ningependa...
Hellow!
Kama una ndugu Yako anaenda Kwa Waganga usicheke naye, aweza kukutegea mtego na kukumaliza,
Imeandikwa ,adui wa mtu ni yule wa nyumbani mwake, yule aliye karibu, mke, mume,shangaji nk nk,
Ndugu ZANGU ni akina nani? Aliuliza swali hili Yesu, na akajibu, ndugu ZANGU ni Hawa wasikiao na...
TANGAZO TANGAZO
HlHabari njema kwa vituo vya afya au shule za serikali
Kuna huduma ya internet kutoka Vodacom, unachagua package mnawezeshewa.
Huduma hii kuwezeshewa ni bure kabisa.
Vigezo
✅Tin namba ya shule/kituo cha afya cha serikali
✅Kitambulisho cha muwakilishi anaefuatilia
✅ Barua ya...
Good Afternoon Everyone.
Eti wakuu, kwanini mtu akitaka kupata "Unlimited Data Access" ni mpaka anunue kifaa cha ziada kama vile Router??
Kwanini mpaka utumie WiFi?? Kwani kwa kutumia smartphones zetu hizi hizi pamoja na simcards za Vodacom, Tigo Yas, Airtel pamoja na Halotel hatuwezi kuwa na...
Hello
Ni wakati sasa tunajifunza jinsi ya kutafuta loopholes kwenye ISP yeyote unayehitaji, katika makala hii tuenda kujifunza jinsi Gani tunaweza tumia udhaifu wa ISP na kupata free internet access unlimited na capped (yenye ukomo)
N:B; huu Uzi ni Kwaajili ya elimu pekee na sio vinginevyo...
Hizi router zimekuwa mzigo kubeba, nimemiss kutembea na pocket router inayobebeka mfukoni
Mwanzoni nilidhani line imefungiwa kusoma kwenye imei moja tu lakini nimetest kwenye router kama yangu ya mtu mwengine inakubali.
Nimetesti kwenye pocket router matoleo mawili tofauti, mtandao unaofanana...
N:B: Ni muhimu kupima Network kwenye eneo lako kabla ya kununua kuzuia hasara.
Haya mambo ya kununua vifurushi vya buku buku unaweza kujikuta unaunga mara 3 na zaidi kwa siku, haba na haba hujaza kibaba mwisho wa mwezi umechoma 80k hadi laki kwenye bando
Suluhisho ni huduma ya unlimited...
TIGO INTERNET UNLIMITED
Bundle hizi tutaakuungia kwenye simu yako ya mkononi au kama una device yako ya internet.
Tuma ujumbe Whatssap au piga simu
📞0765991551
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.