PROJECT PROPOSAL YA KITAIFA
**KAMPENI YA KITAIFA:
“TUINUE VIPAJI KWA TAIFA LETU NA MAENDELEO YETU”**
Wizara Husika:
Wizara ya Sanaa, Utamaduni na Michezo
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
1. UTANGULIZI WA KIMKAKATI
Tanzania ni taifa lenye idadi kubwa ya watoto na vijana wenye vipaji vikubwa vya...
Benki Kuu ya Tanzania (BoT) leo tarehe 22 Januari 2026 imesaini Hati za Makubaliano ya Ushirikiano (MoUs) na taasisi tano za elimu ya juu kwa lengo la kukuza matumizi ya akili unde (AI), kuimarisha ubunifu katika matumizi ya data, na utafiti katika kuongeza tija kwenye uundaji wa sera na...
Kufuatia changamoto ya huduma ya msaada wa kisheria kwenye maeneo mbalimbali nchini baadhi ya wadau wamedai kuwa kuna athari ambazo zinaweza kuwa zinatokea kwenye jamii kutokana na huduma hiyo kukosekana hivyo wamesisisitiza umuhimu wa wadau pamoja na Serikali kuendeleza jitihada za kuwezesha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.