ukrein

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Larry Madowo aja na Documentary ya kuonesha jinsi Urusi inavyoshawishi Waafrika kwenda kufa vitani Ukrein

    Miezi ya Juzi kati nilikuja na chapisho la jinsi Waafrika waliokuwa wanaimba kwa Kiswahili walivyokuwa wanadhiakiwa kwa lugha ya Kirusi kwamba hawa ni takataka tu (Disposable) na wanaenda kuwekwa Frontline yani mstari wa mbele vitani. Sasa Larry Madowo kupitia kituo cha CNN kafanya full...
  2. Mhaya

    JamiiForums Tanzania PUTIN na TRUMP wakutana jijini Alaska kuzungumzia mambo mbalimbali ikiwemo vita ya Ukrein

    Habari: Putin na Trump Wakutana Alaska Licha ya Shitaka la Kukamatwa na ICC Anchorage, Alaska — Agosti 15, 2025 Leo Rais wa Urusi Vladimir Putin na Rais wa zamani wa Marekani Donald Trump wamekutana mjini Anchorage, Alaska, katika kile kinachoelezwa kuwa mazungumzo ya kiwango cha juu kuhusu...
  3. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Mwandishi aliyewahi kupinga vita vya Ukreini awekewa Sumu

    Mwandishi wa habari kutokea Urusi Bi.Marina Ovsyannikova (45) ambaye alipata umaarufu baada ya kupinga vita ya Ukraine akiwa studio ameugua ghafla na inasadikiwa amewekewa sumu. Marina alianza kufuatiliwa kimataifa mwezi Machi mwaka jana baada ya kuvamia studio ya televisheni ya taifa ya Urusi...
  4. Mhaya

    JamiiForums Tanzania Huku Russia vs Ukraine, kule Israel vs Palestina

    Ehe bwana ehe, mimi kama Muhaya original kabisa, na thubutu kusema Dunia mpaka sasa bado inaupiga mwingi kabisa. Mambo kama haya tuliyazoea kipindi kile cha Ofisa Bin Laden Mwamba kabisa aliyeitikisa Dunia na Marekani kwa mapigo yake na akili yake ya kipekee ambae kwa karne hii hakuna mtu...
Back
Top Bottom