ukatili wa kijinsia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nyendo

    Muuguzi akamatwa kwa kumuiba mtoto mchanga

    Muuguzi wa dharura nchini Pakistan amekamatwa baada ya kudaiwa kumuiba mtoto mchanga ili ampelekee shangazi yake ambaye hakuwahi kuwa na mtoto. Mtoto huyo mchanga wa kike aliibiwa muda mfupi tu baada ya kuzaliwa katika hospitali ya mji wa Balochistan, uliopo kusini- magharibi mwa nchi. Lakini...
  2. J

    Maadhimisho ya kupinga ukatili wa kijinsia

    Leo ni siku ya kilele cha maadhimisho ya kupinga ukatili wa kijinsia duniani, ambayo inakwenda sambamba na maadhimisho ya haki za binadamu duniani kote. Ukatili wa kijinsia ulikuwepo na umeendelea kuwepo katika jamii zetu licha ya kuwa wanaharakati mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti zao kupinga...
  3. beth

    Wazazi wadaiwa kukingia kifua watuhumiwa ubakaji

    Wakati vitendo vya ubakaji na ulawiti vikiongezeka mkoani wa Dar es Salaam kwa kipindi cha miezi 10 ndani ya miaka miwili, wadau akiwamo Mkuu wa Wilaya Kigamboni, Sarah Msafiri, wameeleza tatizo la wazazi kuwakingia kifua watuhumiwa. Takwimu zinaonyesha katika kipindi cha miezi 10, mwaka jana...
Back
Top Bottom