Muuguzi wa dharura nchini Pakistan amekamatwa baada ya kudaiwa kumuiba mtoto mchanga ili ampelekee shangazi yake ambaye hakuwahi kuwa na mtoto.
Mtoto huyo mchanga wa kike aliibiwa muda mfupi tu baada ya kuzaliwa katika hospitali ya mji wa Balochistan, uliopo kusini- magharibi mwa nchi.
Lakini...
Leo ni siku ya kilele cha maadhimisho ya kupinga ukatili wa kijinsia duniani, ambayo inakwenda sambamba na maadhimisho ya haki za binadamu duniani kote.
Ukatili wa kijinsia ulikuwepo na umeendelea kuwepo katika jamii zetu licha ya kuwa wanaharakati mbalimbali wamekuwa wakipaza sauti zao kupinga...
Wakati vitendo vya ubakaji na ulawiti vikiongezeka mkoani wa Dar es Salaam kwa kipindi cha miezi 10 ndani ya miaka miwili, wadau akiwamo Mkuu wa Wilaya Kigamboni, Sarah Msafiri, wameeleza tatizo la wazazi kuwakingia kifua watuhumiwa.
Takwimu zinaonyesha katika kipindi cha miezi 10, mwaka jana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.