ujuzi kwa vijana

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. L

    Karakana ya Luban ya China yachochea maendeleo ya ujuzi kwa vijana nchini Madagascar

    Tangu warsha ya kwanza ya mafunzo ya Luban ilipozinduliwa mwezi Machi 2019 nchini Djibouti, China imeanzisha jumla ya warsha 11 za Luban katika nchi 10 za Afrika. Kwa kuzingatia falsafa ya “kuwapatia nyavu na kuwafundisha uvuvi badala ya kuwapa samaki”, warsha za Luban zimejitahidi kuendeleza...
  2. M

    Kupeleka mtoto kujifunza kazi za kujitegemea kuna faida kubwa mara 100 kuzidi kumpeleka pre form 1 na pre form 5, there is life after school !

    Wazazi wengi wamekuwa na maono mafupi kwa kuwa wagumu kurudi nyuma kuiona picha kamili ya maisha ya watoto wao. Wazazi wanahangaiko mtoto ajue kutafuta thamani ya X, kujua log 10 = 1, kukariri definitions, n.k. Elimu yetu kwa hayo yote bado inamuandaa mtoto abanwe kutumia alichojifunza kwa...
  3. Last_Joker

    Kusoma na kufaulu pekee vinatosha? uhitaji wa ujuzi zaidi katika ajira za sasa

    Hivi karibuni, kuna jambo moja ambalo vijana wengi wanaanza kugundua—cheti chako cha chuo si tiketi ya moja kwa moja kupata kazi. Unaweza kuwa na GPA ya 4.8 lakini bado ukakaa nyumbani bila kazi, wakati mwingine mwenye GPA ya 3.0 akipewa nafasi. Unajiuliza, hii ni bahati mbaya au kuna kitu...
  4. Miguel Felix Gallardo

    Kwanini tangazo la vijana kwenda kupata ujuzi VETA bure kabisa halijapigiwa kampeni?

    Hata humu sijaona wadau wa maendeleo kama LIKUD na wengine team kataa EMS. Mada za kijingajinga ndo zinapewa airtime😀😀😀.Hili taifa limekumbwa na nini???!!!
  5. Ridhiwan36

    SoC03 Thamani ya kijana nchini Tanzania

    Tumeaminishwa kwa kipindi kirefu sana juu ya umuhimu wa kijana katika taifa linaloendelea. Tumeambiwa kuwa kijana ni nguvu ya taifa la sasa na lijalo, na kuwa ni juu ya kijana kuendeleza taifa lake. Zaidi ya asilimia 70 ya watanzania ni wa umri chini ya miaka 45, nchi hii imejaaliwa vijana wengi...
  6. kevylameck

    SIKU YA VIJANA: Rais Samia na Elimu na Ujuzi kwa vijana

    Na Kevin Lameck Dunia inapoadhimisha siku ya Vijana hii leo, yapo baadhi ya mambo yaliyofanywa na kutekelezwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye kuwakwamua dhidi ya changamoto mbalimbali zinazowakwaza Vijana. Changamoto kubwa inayotajwa nchini Tanzania miongoni mwa Vijana wake...
Back
Top Bottom