Wakuu,
Sasa hivi ukiingia kwenye kila online media habari ni moja tu, Tanzania imepewa msaada na Marekani
Nakumbuka kipindi kile kipindi Seneti ya Marekani inajadili vikwazo vya Tanzania kwa Marekani media karibu zote za Bongo zilikuwa kimya including huyo anayejiita Miillard lakini leo...
Serikali ya Marekani imetoa zaidi ya dola milioni 1 za Kimarekani, sawa na takribani shilingi bilioni 2.63 za Tanzania, kusaidia kuimarisha maandalizi na utayari wa Tanzania katika kukabiliana na ugonjwa wa Ebola unaosababishwa na virusi vya Bundibugyo.
Kwa mujibu wa taarifa iliyotolewa leo...
Waziri Mkuu, Mwigulu Nchemba, amesema kuwa nchi bado iko salama dhidi ya mlipuko wa ugonjwa wa Ebola unaoripotiwa katika baadhi ya nchi za Afrika. Akijibu swali la Mbunge Asha Moto wakati wa kipindi cha Maswali ya Papo kwa Papo Bungeni Juni 4, 2026 Waziri Mkuu amesema serikali inaendelea...
Habari wakuu!!
Kila mtu mwenye mazoea ya kupata habari ni shahidi wa yale yanayoendelea Nchini Congo juu ya mlipuko wa ugonjwa hatari wa EBOLA.
Kwa ujirani na maungiliano ya kibiashara baina yetu na Congo bila hata Sisi tupo kwenye hatari kubwa kuingiliwa na ugonjwa ikiwa hatua za haraka...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.