ufundi magari

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Najutia kusoma fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM), Ajira Portal imetusahau kabisa

    Mimi ni mhitimu wa mwaka 2020 katika fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM). Kwa kweli, kuna nyakati najikuta nikijiuliza kwa uchungu sana—kwa nini nilichagua kusoma fani hii, hasa nikizingatia mazingira ya nyumbani kwetu ambapo hatuna uwezo mkubwa wa kifedha. Nasema hivi kwa...
  2. Mwamba1961

    JamiiForums Tanzania Faida na hasara za kutumia gesi kwenye gari lilitongenezwa kutumia petrol

    Habari wataalam, Naomba nijue faida na hasara kwa wale waliotumia gesi kama petrol / diesel kwenye magari au bajaji. natanguliza shukrani zenu kwangu. Karibuni wataalam.
  3. Mwamba1961

    JamiiForums Tanzania Mechanical Technician at RUWASA

    Habari , Tupeane possible practical question ya Mechanical Technician inayotarajiwa kufanyika tarehe 30
Back
Top Bottom