Mimi ni mhitimu wa mwaka 2020 katika fani ya Ufundi Magari (Motor Vehicle Mechanics – MVM). Kwa kweli, kuna nyakati najikuta nikijiuliza kwa uchungu sana—kwa nini nilichagua kusoma fani hii, hasa nikizingatia mazingira ya nyumbani kwetu ambapo hatuna uwezo mkubwa wa kifedha.
Nasema hivi kwa...
Habari wataalam,
Naomba nijue faida na hasara kwa wale waliotumia gesi kama petrol / diesel kwenye magari au bajaji.
natanguliza shukrani zenu kwangu.
Karibuni wataalam.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.