uchukuaji fomu ccm

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Nsennah

    GE2025 Wawakilishi wa wananchi (wabunge wa majimbo) sasa si takwa la wananchi bali ni teuzi za rais

    Habari wana jukwaa! Kwa kinachoendelea katika kupitisha wagombea na ukitazama walioenguliwa ni dhahiri kabisa kuwa sasa hivi hata upendwe na wananchi wako vipi bila kupendwa na kiongozi wa nchi wewe huwezi kuwa mbunge wao. Rejea kauli za rais kuhusu wabunge fulani au background ya wabunge...
  2. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 CCM kuanza kurudisha majina matatu ya wagombea kwa wajumbe

    Mchujo wa majina ya wagombea wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) unaendelea kote nchini. Taarifa zinaeleza kuwa huenda majina matatu ya wagombea yakaanza kurejeshwa kuanzia kesho, kufuatia kukamilika kwa kazi ya kuyapitia na kujadili sifa za kila...
  3. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Geita: Jimbo la Bukombe aliyechukua fomu ya ubunge ni Dkt. Dotto Biteko peke yake, majimbo mengine 102 wati nia

    Wakati watia nia kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika mkoa wa Geita wakijitokeza kwa wingi kuchukua na kurejesha fomu za kuomba ridhaa ya kugombea ubunge, Jimbo la Bukombe limebaki na jina moja pekee—Naibu Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Doto Biteko, ambaye ameonesha nia ya...
  4. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mark Mabula achukua na kurudisha ya kugombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini

    Mark Mabula amechukua na kurudisha fomu leo 02 July,2025 ya kugombea Ubunge jimbo la Nzega Vijijini kupitia chama cha mapinduzi Ccm Wilaya ya Nzega. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
  5. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Muigizaji wa filamu nchini, Batuli achukua fomu Kugombea Ubunge wa Viti Maalum Jumuiya ya Wazazi Bara

    Muigizaji nchini Yobnesh Yusuph Hassan maarufu kama Batuli leo amechukua fomu ya kugombea ubunge viti maalum jumuiya ya wazazi bara Alhamdulilah Leo Tarehe 2/7/2025 Nimechukua Fomu Na Kurudisha Ya Kuomba Kuteuliwa Na Chama Changu Cha Mapinduzi Kugombea Ubunge Wa Viti Maalum Jumuiya Ya Wazazi...
  6. DuaZaMama

    GE2025 ChiefGodlove Mwakibete amechukua na kurudisha fomu ya kutia nia kugombea Ubunge Jimbo la Kyela

    Mkurugenzi Mkuu wa ChiefGodlove Foundation Taasisi yenye malengo ya kusaidia Yatima, Wajane na Watu wasiojiweza Godlove Mwakibete, amechukua na kurudisha fomu ya kutia nia kugombea Ubunge Jimbo la Kyela, Mbeya kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea...
  7. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Stephano Joseph ajitosa ubunge jimbo la Nyamagana

    Mwanafunzi wa Sheria katika Chuo Kikuu cha Mtakatifu Agustino cha Tanzania (SAUT), Stephano Joseph (24) maarufu kama 'Steve Magufuli' amejitosa kuchukua fomu kuomba nia ya kugombea ubunge jimbo la Nyamagana kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM). Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge...
  8. Tlaatlaah

    GE2025 Ni muhimu sana watia nia wote wa ubunge na udiwani CCM kujiandaa kisaikolojia kwa hotuba, kuteuliwa na kuenguliwa

    Nawatakia utulivu wa moyo na kifikra watia nia wote wa nafasi za ubunge na udiiwani kupitia CCM katika kipindi hiki cha joto la mjujo mchujo wa uteuzi kuelekea uchaguzi mkuu. Binafsi nimechukua na kurejesha fomu za uteuzi nafasi ya ubunge nikiwa na matumaini makubwa mno, kwa haki kutendeka kwa...
  9. Mtoa Taarifa

    GE2025 Prof. Norman Sigalla King amechukua na kurejesha Fomu ya Kugombea Ubunge jimbo la Makete

    Profesa Norman Sigalla King amerejesha Fomu za kugombea nafasi ya Ubunge jimbo la Makete kupitia CCM leo Julai 2, 2025. Prof. Norman ambaye amewahi kuwa Mbunge wa Jimbo hilo anakumbukwa na Wananchi wa Makete kutokana na kufanikisha ujenzi wa Barabara ya Lami kutoka Njombe - Makete. Pia, miradi...
  10. MamaSamia2025

    Ninawapongeza wanaCHADEMA kwa kuacha harakati zao kwa muda ili kufuatilia zoezi la uchukuaji fomu CCM

    Hakika huu ni uzalendo. Nawapongeza sana kina Godbless Lema na makada wengine wa CHADEMA kwa kufuatilia kwa karibu zoezi linaloendelea la uchukuaji fomu za kugombea uongozi kwenye vyombo vya dola. Hii ni ishara kuwa watanzania wakiwemo makada wa CHADEMA wana imani na CCM. Makada wengi wa...
  11. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Shaban Mrutu achukua fomu kugombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini

    Mdau wa maendeleo Mkoani Tabora Shaban Mrutu amechukua fomu kugombea Ubunge Jimbo la Tabora mjini ikiwa ni mara ya pili, Awamu ya kwanza ikiwa ni Mwaka 2020 Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025
  12. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Wakili wa Mahakama Kuu, Tumsifu Kweka achukua fomu ya kuwania ubunge Jimbo la Siha

    Mjumbe wa Mkutano Mkuu wa Taifa wa CCM kutoka mkoa wa Kilimanjaro na Wakili wa Mahakama kuu Bw. Tumsifu Kweka, leo Jumanne Julai Mosi, 2025, amechukua fomu ya kuwania nafasi ya uteuzi wa kugombea ubunge katika Jimbo la Siha, akiahidi kuendeleza maendeleo ya wananchi na kusimamia itikadi ya chama...
  13. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mwanachuo Salvatory Mwakamele ametia nia Udiwani Kata ya Segerea

    Mwanachuo Salvatory Mwakamele ametia nia Udiwani Kata ya Segerea. Mwakamele alishawahi kuwa kiongozi wa Tawi la UVCCM - Chuo Cha Tumaini Dar es Salaam, Mkurugenzi mkazi wa AUSP ( African University student Platform) - TANZANIA. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu...
  14. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Kijana wa miaka 28 ajitosa ubunge Jimbo la Nachingwea

    Kijana mwenye umri wa miaka 28, Ally Ngualo, mkazi wa Naipanga katika Wilaya ya Nachingwea, mkoani Lindi, ametangaza rasmi nia ya kugombea ubunge wa Jimbo la Nachingwea katika uchaguzi mkuu ujao. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Ngualo alisema kuwa sasa...
  15. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mtia nia wa ubunge jimbo la Vunjo afika kuchukua fomu akiwa na mbwa

    Faustin Mtui, mwanasheria na mkazi wa kata ya Marangu Magharibi, amejiunga rasmi katika mbio za kuwania nafasi ya ubunge wa Jimbo la Vunjo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), akiambatana na mbwa maalum wa doria waliompatia umaarufu katika mapambano dhidi ya uhalifu. Soma Pia: Uzi maalum wa...
  16. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Hawa Mwaifunga arudisha fomu ya ubunge jimbo la Tabora mjini, afunguka sababu za kuhamia CCM

    Hawa Mwaifunga arudisha fomu ya ubunge jimbo la Tabora mjini, afunguka sababu za kuhamia CCM
  17. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Aliyekuwa mbunge wa CHADEMA aibukia CCM na kujitosa ubunge jimbo la Ileje

    Aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalum mkoa wa Songwe kupitia CHADEMA ambaye hivi karibuni alitangaza kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM), Bi.Stella Fiyao, amechukua fomu ili kuomba ridhaa ya kugombea nafasi ya ubunge katika jimbo la Ileje lililopo mkoani humo. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia...
  18. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Msanii Dogo Janja autaka udiwani Kata ya Ngarenaro

    Msanii wa Bongo Fleva Dogo Janja ametangaza nia ya kugombea udiwani Ngarenaro. “Kata ya Ngarenaro nimezaliwa, nimekulia na Nimeishi sasa ni wakati wa Kuwatumikia Wananchi wenzangu na kushirikiana nao katika kusukuma Gurudumu la Maendeleo ya Kata yetu. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia...
  19. Mkalukungone Mwamba

    GE2025 Mtangazaji wa Azam TV Timothy Chelula, ajitosa ubunge jimbo la Kongwa

    Mtangazaji na mtayarishaji wa vipindi wa Azam TV, Timothy Chelula, amechukua na kurejesha fomu ya kuomba ridhaa ya kuteuliwa kuwa mgombea wa ubunge wa Jimbo la Kongwa, mkoani Dodoma, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM). Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025...
  20. N

    GE2025 Mpelumbe ajitosa ubunge jimbo la Masasi

    Bwana Dunford Mpelumbe naye ajitokeza kuwania kuteuliwa kugombea ubunge jimbo la Masasi kwa tiketi ya chama chake cha CCM. Soma Pia: Uzi maalum wa wanaotia nia kugombea Ubunge Uchaguzi Mkuu 2025 Zoezi la uchukuaji fomu katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) linaendelea nchi nzima
Back
Top Bottom