uchawa katika siasa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. The Father of All

    Onyo kwa Watanganyika wanaomtetea Samuya: Kikinuka tena yeye atakwenda zake kwao

    Sizungushi. Kichwa cha habari kiko wazi. Hivyo, ndiyo itakavyokuwa. Hivyo, watanganyika wanaotumika na kuuza uhuru na utu wao, waache mara moja. Mtaachwa na Tanganyika yenu na watu wake kwa vile yeye atatimkia kwao au kwa mabwana zao kule Uarabuni ambako wanatoka wengi wa wachukuaji wetu...
  2. W

    GE2025 Mna uhakika hawa wasanii wetu ni kioo cha jamii kweli?

    Hawa wasanii bwana, vituko haviishi! Badala ya kusimama kidete na kuwa sauti ya wananchi, wao wameamua kuendeleza uchawa na kujipendekeza bila aibu. Angalia sasa huyu Steve Nyerere, alivyojigeuza kuwa mwananenguaji – kweli fedheha tupu!
  3. Mashamba Makubwa Nalima

    Unataka kujenga nchi 2020s na unawekeza zaidi kwenye UCHAWA uko sawa?

    Mambo lazima yagome, huwezi kufanya huu ujinga na tukaulelea hakuna hiyo namna. Sasa hivi wananchi wa Tanzania wamekosa wawikilishi kabisa kwasababu raisi achallengiwi wenye chochote kila Waziri ni Chawa wake, Kila Naibu waziri ni chawa wake, kila mbunge ni chawa wake, kila diwani ni chawa...
  4. Mashamba Makubwa Nalima

    Hili anguko liwe fundisho hata kwako: Usikubali kuzungukwa na MACHAWA, hawana faida kwako na future yako

    Wewe watu wanasifia kila kitu unachofanya na unaona wako sawa tu. Ukiiba wanasifia Ukikemea wizi wanasifia Ukikemea uuaji wanasifia MACHAWA sio watu, si mnawaona humu. Hao hao walifurahia kufungiwa kwa Jamiiforums ila bado wanatumia hii hii platform kupush harakati zao. Machawa sio watu...
  5. Intricate

    Ifike wakati, huu uchawa wa kumsifia Rais Samia uwe na staha. This is too much

    Yani hata msibani mnadiriki kummithilisha mama na marehemu.
  6. B

    Shekhe Amechafukwa: Chawa wanaomsifu mpaka wanakufuru kabla Hajawa Rais Walikuwa hawamuoni? Je Akitoka madarakani si itakuwa kama zamani tu?

    Shekhe Mmoja huko Mtandano amekosoa baadhi ya Viongozi ambao ni Waislam wanaCCM wanaompa sifa mpaka wanakufuru Shekhe Huyo ameuliza mbona Dr Samia Suluhu Hassani alikuwa kiongozi tena Makamu wa Rais na hawakuwa wanamsifia? Je wanasubiri akistafu tena warudi kama zamani. Amewataka wamsifie Rais...
  7. Emanueli misalaba

    Wale wenye kujiita Mitume na Manabii Tanzania ni aibu na fedheha kuwa machawa na wasanii kwa wenye mamlaka

    Ndugu zangu kilichonisukuma kuandika haya ni kile ninachokiona na kukisoma kwa baadhi ya wenye kujiita watumishi wa Mungu, hasa hawa wetu wa makanisa ya Kipentekoste, Mitume na Manabii na baadhi ya Wachungaji, Uchawa tulikuwa tunashuhudia kwa wafuasi wa wanasiasa na wasanii mbalimbali lakini...
  8. The Father of All

    Tuna tatizo kama jamii na taifa maana sielewi mantiki ya watu wazima na akili zao kukubali kuita au kuitwa au kujigeuza chawa

    Kwa sasa, chawa amegeuka superstar katika siasa za majitaka za nchi yetu. Kila aliyekaribu na watawala ima ni chawa au anatafuta kuwa chawa. Je kwa uchawa na uzwazwa huu tutegemee nini? Afugaye chawa na chawa wanaofugwa naye, wote wanahitaji ukombozi. Hii inanikumbusha kauli ya marehemu Mtikila...
  9. Mkalukungone Mwamba

    PreGE2025 Viongozi wa dini waja na kalamu ya Samia

    Kalamu ya Samia inaongea waendelea kuyasema na kuyamulika yale yote aliyoyafanya Rais Samia kuanzia mjini mpaka vijijin kuwa kalam ya mama Samia imepita kila eneo. Leo March 17,2025 viongozi wa dini wa pande zote kupitia kampeni ya kalamu ya Samia inaongea wamezungumza na waandishi wa habari na...
  10. McLaren

    Uchawa Promax? Mmarekani "afurahishwa" na ubunifu wa RC Makonda jijini Arusha

    Wakuu, Imefikia hatua sasa CCM wameanza kutumia wazungu kama machawa wao ili waonekane wananfanya kazi ========================================= Ryan Shirley kutoka Jimbo la Utah, Magharibi mwa Marekani ameeleza kufurahishwa na mabadiliko makubwa kwenye mandhari ya Jiji la Arusha...
  11. Heparin

    PreGE2025 Chawa wa Rais Samia wapokelewa na kupongezwa Zanzibar, waahidiwa kupewa Ushirikiano na Serikali

    Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman amewapokea na kuwakaribisha Chawa wa Rais Samia huko Zanzibar na kuwaahidi kuwa Serikali ipo nao na inaunga mkono mambo wanayofanya. Aidha, amewaomba kuendelea kuyasema yale mema na mazuri yanayofanywa na Rais Samia pamoja na Rais Mwinyi ili...
  12. Financial Analyst

    Hivi huu uchawa ni njaa kali? Upungufu wa akili? Au ni vyote kwa pamoja.

    Aiseee, Yani sasa hivi hata thamani ya utu imepotea, Naamini hata babu yako akiamka leo toka kaburini akute jinsi unavyo samabaratisha moyo wako kwa kuunda uongo uongo ndani yako ili mtu fulani aone jinsi unavyo mtukuza mtu ili tu ubahatike kujipatia kakitu fulani, aisee atarudi tena kusinzia...
  13. Mindyou

    PreGE2025 Huyu D Voice alianza vizuri tu ila Wasafi washampeleka kwenye uchawa. Yaani Rais kuwa photogenic kidogo tu watu washaingia studio!

    Wakuu, Yaani Rais kupiga picha tu, chawa washaingia studio kutengeneza nyimbo out of that picture. Huyu D Voice ndio alikuwa the last standing artist hapo Wasafi bila viashiria vya chawa ila naona nae kashakuwa chawa wa mama. Yaani Rais kuwa photogenic kidogo tu watu mshaingia studio kutunga...
  14. Waufukweni

    PreGE2025 Nadhani tupate 'Kanuni ya kudhibiti Uchawa' kabla ya Uchaguzi wa Oktoba!

    Wakuu Uchaguzi unakuja, Oktoba 2025 sio mbali, lakini wote tunashuhudia vijana wengi wamegeuka "machawa" na kupoteza mwelekeo wa kisiasa. Badala ya kujadili sera, ajira, elimu, na uchumi, wamebaki kujipendekeza kusiko na faida kwa maisha yetu. Mastaa Wengi wamegeuka kuwa mashine za kuwapamba...
  15. Suley2019

    Sheikh Nurdin Kishki: Uchawa unakatazwa katika Uislam

    Wakuu niaje? Nimekutana na clip ya Sheikh Kishki akisema kuwa Uchawa (kujipendekeza kwa watu ili update maslahi kumekatazwa katika Uislam). Vipi kuhusu viongozi wetu wa dini ambao wamekuwa machawa wabobevu? Hebu msikilize mwenyewe hapo chini utie neno
  16. The Father of All

    Ukiacha Rais Samia Suluhu Hassan ni nani anafuatia kwa kupendwa na kusifiwa?

    Kama sifa zingefanya binadamu aishi milele, kama kupewa majina yenye sifa kama mtukufu, mpendwa, mbeba maono, Daktari bingwa, profesa, msafi, msikivu, mpendwa, mwenye elimu sana kuliko hata Maprofesa, mwanafalsafa, muumini, mpenda watanzania hata wadudu, mzalendo, mchangamfu, mpole, mwenye...
  17. Erythrocyte

    Maajabu: Mwijaku apendekeza Mfumo wa Uteuzi usiangalie Chawa

    Habari kamili hii hapa Mtangazaji Burton Mwemba, maarufu Mwijaku ameishauri Serikali kuona umuhimu wa kuwa na mfumo mzuri wa kuangalia aina ya upatikanaji viongozi kwa baadhi ya nafasi hasa zile za kuteuliwa na Rais au taasisi fulani. “Kumteua mtu lazima kuwe na utaratibu wa aina mbili...
  18. ELI COHEN

    Kina Dotto Magari na wenzake wanawabeza watu waliosoma bila kujua kodi wanazokatwa ndio zinatumika kuwapa ujira wa uchawa wao

    Dotto magari ni mfano wa limbukeni aliochangamka. Limbukeni anapopata pesa kinachofata ni kufanya mambo akiwa out of control. Hakuna anaependa kuwa nyuma kimaisha licha ya kusoma kwa maana alitegemea atapata ajira kwa maana kama mpiga kura aliahidiwa ajira, kama mkatwa kodi aliahidiwa ajira...
  19. K

    Uchawa ni janga linaloitafuna nchi kimaadili

    UCHAWA NI JANGA LINALOITAFUNA NCHI KIMAADILI Sisi tuendelee na kukemea Uchawa kwanza. Mifumo ya nchi inavurugika kutokana na Uchawa. Mtu Akiwa chawa anakuwa ameukana Uzalendo wake kwa nchi. Tuutokomeze Uchawa ili watu waone fahari kujiita ndugu au Comrade. Tukifaulu hapa Watu watasoma Ilani...
  20. K

    Tuutokomeze uchawa kwa kutoa elimu iliyo sahihi kuhusu siasa

    ELIMU SAHIHI YA SIASA IKO NDANI YA VITABU HUSIKA TUUTOKOMEZE UCHAWA KWA KUTOA ELIMU ILIYO SAHIHI KUHUSU SIASA Nilisikika katika Ulimwengu wa kiroho huko ndotoni nikiwa Usingizini nikiropokwa Kama vile nimevuta Bangi Tena kile kijiti Cha Arusha Meru milimani. Nikikemea Wasomi wasiokuwa na faida...
Back
Top Bottom