tunalala gizani

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Heparin

    KERO TANESCO acheni ulaghai, kulikuwa na haja gani ya kusema mgawo umeisha huku watu wa Makongo Juu tukilala gizani siku 3 mfululizo?

    Nashindwa kuelewa kama TANESCO ni shirika linalosimamia maslahi ya umma, nini maana ya kutoa ahadi feki kila siku? Kwa masikitiko makubwa sana, shirika hili limegeuza kile kinachoitwa 'Mgawo wa umeme' kuwa 'Hitilafu za kiufundi' Ni siku 3 sasa watu wa Makongo Juu tunapata usumbufu mkubwa...
Back
Top Bottom