tume ya samia

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    JamiiForums Tanzania Ndoto iliyowatesa wengi inaelekea kutimia

    Baada ya lile jinamizi la Oktoba 29, watu wangi walioto ndoto za kutisha Kuna waliowaona polisi kadhaa wakifungwa magereza kwa makosa yasiyo ya kwao, Kuna waliolia kilio na kuomboleza ndotoni huku wakilikumbatia na kulibusu jeneza la kiongozi mmoja mkubwa sana Kuna walioota wakiona mamlaka za...
  2. figganigga

    JamiiForums Tanzania Mzee Mwanakijiji: Tume ya Samia inatia mashaka, haitaweza kumuhoji

    Tume iliyoundwa leo nina mashaka kama itakidhi haja. Haitaweza kumuhoji Samia Suluhu wa Makunduchi. Mzee Mwanakijiji kasema; 1. Haiwezi kumhoji Rais kutokana na kuhusika kwake 2. Haina mwakilishi wowote (kwa sasa) toka Ofisi ya AG au DPP ili watengeneze kesi unless hawa nao wakitoa ripoti yao...
  3. Ileje

    JamiiForums Tanzania Tume ya Samia ya Jaji Chande imefeli sasa Serikali iruhusu Tume Huru za Kimataifa

    Kama alivyojidai mwenyewe kuwa Tume ya Jaji Chande ni yake yeye Rais Samia na kwamba watu hawana haki ya kuihoji,sasa ni wakati muafaka wa kuruhusu kualika Tume Huru za Kimataifa kuja kufanya uchunguzi wa nini kilisababisha mauaji ya kimbari yaliyofanywa na polisi wakishirikiana na vyombo...
  4. The Father of All

    JamiiForums Tanzania Tukatate timu siyo tume ya Samia ya malazimishano na maridhishano yaitwayo maridhiano

    Kichwa cha habari kiko wazi. Timu hii ya wazee wa hovyo haina maslahi ya nchi bali ya. muuaji mmoja aliyewateua. Ni aibu hadi sasa wanaamua kufanya uchunguzi kwa siri. Kwanini siri? Wanaficha nini? Na kwanini?
  5. Abraham Lincolnn

    JamiiForums Tanzania Rais hawezi kujiundia tume ya uchunguzi wakati yeye na chama chake ndiyo chanzo cha yote

    Yaani wenzako wanasema mchezo huu hauko fair mabadiliko yafanyike, Mwamuzi, Linesmen, Wasimamizi na wadau wote wameteuliwa na timu mojawapo, Unakataa, Unawaua na kutumia Nguvu kubwa kuwadhibiti, Baada ya ushindi wa Damu unarudi kuuliza shida iko wapi? Are you serious? Shida ni wewe! Waliofanya...
Back
Top Bottom