tume uhuru ya uchaguzi

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. DuaZaMama

    GE2025 Tume Uhuru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) yasitisha uchaguzi wa Udiwani Kirua Vunjo Magharibi kufuatia kifo cha mgombea

    TAARIFA KWA UMMA KUHUSU KUSITISHA UCHAGUZI KATIKA KATA YA KIRUA VUNJO MAGHARIBI Tafadhali rejea somo tajwa hapo juu. Kwa kuzingatia masharti ya Kifungu cha 71(1) cha Sheria ya Uchaguzi wa Rais, Wabunge na Madiwani Na. 1 ya Mwaka 2024 na kwa barua yenye Kumb. Na CMV/U.30/10/VOL.II/45 ya tarehe...
  2. JF Analyst

    Viongozi wa Tume ya Uchaguzi Kenya wanapatikanaje? Je, Rais ana nguvu kiasi gani?

    Je, Umewahi kujiuliza jinsi viongozi wa Tume ya Uchaguzi na Mipaka ya Kenya (IEBC) wanavyopatikana? Jaji Mkuu Martha Koome (wa tatu kutoka kushoto) akiwa na wajumbe wa Jopo la Uteuzi la Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) baada ya kuapishwa Januari 27, 2025 Katika taifa ambapo uchaguzi ni...
  3. DuaZaMama

    GE2025 Kadege: Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi Iko vizuri, atakayeshinda atatangazwa

    Twalibu Kadege - Mgombea Urais wa Tanzania kupitia chama cha UPDP , Anasema kwa uwazi kuwa: Tume huru ya taifa ya uchaguzi iko vizuri sana na atakayeshinda atatangazwa.
  4. DuaZaMama

    INEC, yatangaza nafasi za kazi za muda za watendaji wa vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu

    Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC), imetangaza nafasi za kazi za muda za watendaji wa vituo vya kupigia kura katika Uchaguzi Mkuu Oktoba mwaka huu. Taarifa kwa umma iliyotolewa jana Juni 28,2025 na Mkurugenzi wa Uchaguzi wa INEC,Ramadhani Kailima nafasi hizo ni wasimamizi wa vituo vya...
  5. K

    Uangalie muundo wa Tume Huru ya Uchaguzi halafu tafakari mwenyewe

    INEC | Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele Mhe. Jaji Rufaa Jacobs Mwambegele Mwenyekiti na Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji Rufaa Mst. Mbarouk Salim Mbarouk Makamu Mwenyekiti na Mjumbe wa Tume Mhe. Jaji wa Mahakama Kuu Asina A. Omari Mjumbe wa Tume Mhe. Balozi Omar Ramadhani Mapuri Mjumbe wa Tume...
Back
Top Bottom