TikTok inataka kugeuka kuwa Whatsapp 👋, baada ya kuleta feature ya VOICE CALLS ndani ya DM! 📱📞
Ndiyo! Badala ya kutoka TikTok kwenda WhatsApp kupiga simu, baadhi ya watumiaji wameanza kuona kitufe cha kupiga audio call moja kwa moja kwenye DM za TikTok. 👀🔥
Na hii ni hatua nyingine ya TikTok...
Kama heading inavyojieleza nashindwa kuingia huko TikTok hata nikiwasha VPN.. inaandika no connection
Lakini kwa VPN napata majukwaa yaliyokwisha pigwa ban kama JF na Xtwtitter.
Swali langu TikTok imepigwa Total Ban?!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.