Tegeta Thermal Power Station is a Tanzania Electric Supply Company owned power plant. The project began in 2006 half funded by the Tanzanian Government and the other half by The Government of the Kingdom of the Netherlands under ORET/MILIEV program.
The power-plant is located in Tegeta, Dar es Salaam and has an installed capacity of 45 megawatts (60,000 hp) using Natural Gas as fuel. The power plant obtains Natural gas from the existing dar-es-salaam gas pipeline.
Katika harakati zangu za kutembelea ndugu jamaa na marafiki leo Mwaka mpya nimekutana na hii chamber ya maji ya Dawasa inavujisha maji kama mto maji mengi yanapotea hapa.
Nilipouliza wenyeji wakaniambia eneo ni Tegeta A, Kwa matope
*Kiwanja goba tegeta A
Kiwanja kizuri kikubwa bei kitonga ..
Kiwanja kipo goba tegeta A kwa madawa karibu na kanisa katoliki
Ukubwa ni sqm 1196
Unaweza kujenga nyumba ya ndoto yako hapa au apartments
Au ukagawa ukafanya vyote
Millllions 28 tu ..
Wasiliana na sisi zaidi...
Habari wakuu,
Kumekuwa na changamoto ya maji takriban week sasa Goba mtaa wa Tegeta A njia ya kuelekea kwa Bedui, na maeneo mengine yote ya Goba maji yamekuwa hayatoki na hata mtaani wanaouza hawapatikani kwa hali hii wananchi wa huku tunateseka sana, mwenye kujua chanzo cha hii kero atufungue.
Wakuu nauza kiwanja changu mwenyewe hakina Dalali.
Bei mil 200
Ukubwa 1405M²
Barabara zinapitika muda wote, kipo kabla ya kanisa la Methodist
Barabara ya lami ya Goba Mbezi Luis ipo 130M toka kilipo kiwanja
Kina Hati ya miaka 99 imeshaisha 4 tu
Maji na umeme vipo jirani
Serious buyer PM only
Wananchi wa Mtaa wa Tegeta A katika Kata ya Goba wilaya ya Ubungo jijini Dar es salaam, wameandamana mpaka ofisi za Mwenyekiti wa Serikali ya Mtaa wa Tegeta A, wakitaka ufafanuzi juu ya sababu zinazopelekewa Barabara ya Tegeta A- Goba Mpakani kubaki kuwa mbovu, licha ya ahadi walizoahiriwa mara...
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui
Dakika 5 tukutoka kwa bedui center
Dakika 7 tuu mpaka goba centre
Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho
Kiwanja kina sqm 722 (Upana wastani wa 19m and urefu ni mita 38)
Kuna barabara unafika na gari bila tatizo
Eneo limejengeka vizuri sana. Kiwanja...
Kiwanja kipo karibu na kanisa la Sabato dakika 5 kutoka barabara inayoelekea Goba mpakani. Kiwanja kina mapana yafuatayo. Upande unapakana na barabara ni mita 16 na marefu yake ni mita 38. Upande wake wa nyuma ni mita 22. Bei yake kuanzia TZS26 milioni. Maongezi yapo tuwasiliane
Kiwanja kina ukubwa wa 20 kwa 20 (400 sqm) kuna vyumba viwili ambavyo vimekamilika na mwenyewe anaishi hapo . Unapanda bajaji za kwenda kwa madawa (kituo cha kushukia ni kwa madawa) sio mbali kutoka hapo na kiwanja kilipo.
Bei ya kiwanja ni shilingi milioni 13 .
Mawasiliano 0716694624/0685084315
Kiwanja kinauzwa goba tegeta "A" kwa bedui
Dakika 3 tuu kutoka kwa bedui center
Dakika 7 tuu mpaka goba centre
Dakika 10 tuu mpaka madale mwisho
Kiwanja kina sqm 700
Ni corner plot
Kina njia kubwa pande mbili
Eneo limejengeka vizuri sana
Kiwanja kinauzwa milioni 40 tuu....
☎️ +255 699...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.