tanzania amani upendo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Damaso

    Upendo wa Agape kwa Polisi

    Hivi sasa unaambiwa kuwa polisi wanatembelea nyumba kwa nyumba kuwajulia hali wananchi. Pichani: Mkaguzi Msaidizi wa Polisi Lupakisyo Mwakyusa ametembelea familia ya Mzee Mabile Nunda na Bi. Chambi Licholi wa Kijiji cha Bilulumo, kwa lengo la kuwajulia hali na kusikiliza kwa makini changamoto...
  2. FourTwoNet

    Amkeni! Hili suala la Zanzibar na Tanganyika ni propaganda

    Wakuu, kuna kitu kinaitwa "divide and conquer", yaani "tawanya utawale". Kuna mifano mingi sana, wadau wa historia mna ushahidi. Ukweli ni kwamba, wapo watu wa bara wengi wenye mali na familia Zanzibari, vile vile wapo watu wa Zanzibari wengi wenye mali na familia bara. Infact wapo watu wengi...
  3. R

    GE2025 Zuchu aposti ujumbe wa pole kwa Watanzania, aombea amani

    Msanii wa Muziki wa Bongofleva 'Zuchu' Kupitia ukurasa wake wa Instagram ameandika kuiombea Taifa la Tanzania kuwa nchi yenye amani, umoja na Upendo Jambo ambalo wananchi wengi kwa upande wa Comment section wamechukulia kama dharau wengi wakidai kuwa wasanii wengi walikuwa wakiiunga mkono...
Back
Top Bottom