tacri

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania KERO Malipo yanacheleweshwa TACRI Kibosho

    Malipo yanacheleweshwa hii ni baada ya taasisi kurudishwa Serikalini project haziendi kama inavyotakiwa. Pesa zake zinachelewa, waajiriwa wapya mpaka wameondoka miezi 5 hawajalipwa. Alikuja mkurugenzi akaahidi kulifuatilia mwezi sasa umekata hakuna kilichoendelea.
  2. A

    JamiiForums Tanzania KERO Taasisi ya Kahawa, TACRI Moshi malipo yanachelewa na wengine kutokulipwa kabisa

    Wafanyakazi hatulipwi kwa wakati na wapo walioingia kazini Nov. 2025 hawajalipwa mpaka imebidi waondoke na ni vijana waliotoka chuo, wanaishije? Alikuja Mkurugenzi wa land planning somebody Mdeke aliahidi kufanyia kazi ila hamna lolote lililofanyika. Kama hawatawaajiri kama waliavyowaahidi basi...
  3. Jamii Opportunities

    JamiiForums Tanzania Accounts Assistant (3 posts) at TaCRI

    Position: Accounts Assistant (3 posts) Reports to: Zonal Programme Manager Location: Bukoba-Maruku substation, Kigoma-Mwayaya substation and Tarime-Sirari substation Roles and responsibilities: Collect revenue and issue receipts to various stakeholders Prepare payments and ensure arithmetical...
Back
Top Bottom