Habari Wakuu,
Binafsi kwenye swala la kubadilisha fedha za kigeni lilikua lina nichanganyaga kujua Zile Rates zina ku-affect vp. Sell rate inatumika muda gani na Buy Rate inatumika muda gani. Ila baadae nilielewa.
Wewe huwa unapataga changamoto gani unapotaka kubadilisha fedha za kigeni kwenye...
Kwanza nitoe pongezi kwa serikali kwa ujenzi wa meli katika Ziwa Nyasa na Ziwa Victoria na marekebisho ya meli zilizokuwepo.
Kwa kipindi kirefu ramani (Navigation Chart) ambazo zimekuwa zikitumika Ziwa Nyasa ni za zamani sana, hivyo inapaswa hydrophic survey ifanyike na zitengenezwe ramani...
Hello, habari zenu?
Mwenzenu naomba anayejua app ya survey inayolipa for real kama Premise app nchini Tanzania anijuze. Nimetafuta nyingi Sana km Afrisight, Geopoll n.k sijapata jamani!!
Napenda kujishughulisha Sana hasa online survey through apps, website lakini sijapata zaid ya Premise...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.