stiegler's

Julius Nyerere Hydropower Station (JNHS; RHHP; Rufiji Hydroelectric Power Project; Stiegler's Gorge Dam) is a hydroelectric dam under construction across the Rufiji River in eastern Tanzania. Although controversial, the government approved the plans in 2018. The power station is expected to have an installed capacity of 2,115 megawatts (2,836,000 hp) and to produce 5,920GWh of power annually. The project, power station and dam are owned by and will be managed by the government owned Tanzania Electric Supply Company (TANESCO). Construction began in 2019 and is expected to be completed in 2022.

View More On Wikipedia.org
  1. Kinuju

    Kassim Majaliwa: Ujenzi Bwawa la Nyerere unaendelea kwa kasi

    Waziri mkuu wa Tanzania Mh Kassim Majaliwa leo ametembelea mradi wa bwawa la Nyerere na kuwataka watanzania kuwapuuza wale wote wanaosema mradi huo hauna faida kwa nchi. Mh Majaliwa amesema mradi huo unatarajiwa kukamilika mwezi wa 6/2022 na kukabidhiwa kwa watanzania tayari kwa matumizi.
  2. Stephano Mgendanyi

    Nini tafsiri ya Megawatts 2,115 za umeme wa bwawa la Mwalimu Nyerere (Stiegler's Gorge)?

    NINI TAFSIRI YA MEGAWATTS 2,115 ZA UMEME WA BWAWA LA MWALIMU NYERERE (Stiglers Gorge)? Wengi tunaona na kusikia kuhusu habari ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa uzalishaji umeme wa maji wa Megawatts 2115 kutoka kwenye Mto Rufiji, mradi uliobuniwa na Mwalimu Nyerere toka mwaka 1975 na sasa...
  3. Emc2

    Mradi wa Stiegler’s Gorge kuanza Julai

    WAZIRI wa Nishati, Dk Medard Kalemani amesema kazi ya ujenzi wa mradi wa kuzalisha umeme kwa nguvu za maji ya Mto Rufi ji eneo la Stiegler’s Gorge, unatarajiwa kuanza Julai mwaka huu. Dk Kalemani alisema jijini hapa jana kuwa hatua hiyo ya kuanza kwa mradi inatokana na kazi ya tathmini ya...
Back
Top Bottom