STEVE NYERERE KAKIDHALILISHA CHAMA CHA MAPINDUZI (CCM), BUNGE na TUME YA UCHAGUZI WAOMBE RADHI
Anaandika Reuben Mchome
0655331933.
Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni kwa VIMEMO?
Kwani kuna wabunge waliopo Bungeni na ushindi wao ukiwa ni wa MASHAKA?
Mshindi wa SITA kuongoza Jimbo (MBUNGE) ni...