Hi guys,
Naomba m-suggest nyimbo 3 ambazo mnapenda sana. Mimi nitazisikiliza, iwe aina yoyote ile ya wimbo. Vizuri unavipata kwa bahati mbaya.
Mimi zangu ni hizi..
The Go Go's _ Vacation. (Spiderman far from home soundtrack )
UB40 _ Red Red Wine
St. Anna Choir Yombo Dovya _ Mbingu zinahubiri
Habari,
Naomba msaada wenu. Kama wewe ni mzee wa zamani au miaka ya 90 na 2000 ulikua unaenda Disko (Ulikuwa ushapevuka wakati huo), basi naomba uniorodheshee nyimbo zile mlizokua mnazicheza hasa za Kiafrika. Au hata kama ulikua unamsikia mzazi anauimba au kusikiliza wimbo wa zamani utaje hapa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.