AKILI NYEUSI: SIRI ZA WATU WANAOCHEZA NA MAWAZO NA MALENGO YAKO.
Anaandika, Robert Heriel
Mtibeli
Shuleni ulifundishwa Masuala la Chemical reactions, ulifundishwa natural selection, ulifundishwa Frictions.
Maisha ni vita, au reactions simple unazoziona kimwili na kiroho na complex.
1. Kuna...
Kuna Bwana mmoja maarufu anaitwa JOMEKE; Huyu bwana ni katika wale watu wasiokuwa na vifua, hana stahimala akiona jambo. Vijana wanasema friji lake haligandishi. Jomeke hawezi kabisa kuficha siri, akiskia jambo au akiona jambo hawezi kuvumilia lazima aseme
Sasa siku moja Jomeke kwenye...
(1)Mhudumu wa gest
(2)Daktari
(3)Boda boda
(Bodigadi)
(4)Mganga wa kienyeji
(5)Mtunza siri za bosi
(6)Baharia
(7)Rais
NB:Orodha ni ndefu sana unaweza ongezea kadri uwezavyo,ila hii dunia kuna watu wanaijua nje ndani na hawasemi maana wanakutana na vitu vya ajabu sana.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.