Kuna kitu nimekitafakari katika betting
Tunatumia sana hisia kuliko akili ndo maana tunakosa na wengine tunatumia ushabiki mkubwa
Wengine record za timu na wengine matokeo ya timu
Lakini ukweli ni kuwa tukitaka kufanikiwa katika beating
Haya ndo mambo muhimu ya kuangalia sana kwenye...
"Mtu mmoja akasema kiongozi fulani ni Mungu, nikashika mkono Tanzania hapa? Kiongozi anayesikia anasifiwa Mungu akatae anatafutiwa laana"
"Yoyote anayejua kwamba kuua ni dhambi na akaaua akachukua roho ya mtu, amegeuka kuwa sinagogi la shetani, yeyote anayedhani kufunga mtu bila kosa ni dhambi...
Wanaukumbi.
BREAKING:
🇷🇺Mapigano na magaidi yanaendelea, baadhi ya wanamgambo wameondolewa, wengine wamezuiliwa.
- Wanamgambo wawili waliangamizwa huko Dagestan,
-Gari la doria linawaka moto kwenye Mtaa wa Ordzhonikidze.
-Mashambulizi ya silaha yalifanywa kwa makanisa mawili ya Orthodox...
Wanaukumbi.
Kundi la wanaume wa jamii ya Wayahudi wa Hasidi huko New York walikamatwa Jumatatu huku kukiwa na mzozo juu ya handaki haramu lililochimbwa kwa siri kando ya sinagogi la kihistoria, ambalo limefungwa tangu wakati huo.
Hatua za utekelezaji wa sheria baada ya handaki hilo kujulikana...
My Take :Je, Kusimikwa kwa Sinagogi la kiyahudi huko Gaza na vikosi vya Israel kibabe ni dalili za Hamas kushindwa umiliki wa Gaza? Sinagogi ni hekalu la wayahudi la kuabudu!
....
IDF soldiers have established a synagogue called Heichel Avraham in the heart of Gaza and have added benches and...
Hivi karibuni kuna mtu mmoja aliuliza swali sehemu kuwa kuna utofauti gani kani ya Kanisa, Sinagogi na Hekalu? Nikagundua kuwa wengi wanasumbuliwa na swali hili, hivyo leo nimekuandalia majibu kwa ufupi tu Mungu akitupatia neema siku nyingine tutaona kwa kina, karibu.
HEKALU
Hekalu ni jengo...
Tukio hilo limeacha watu wengine watatu wakijeruhiwa katika Mji wa Neve Yaakov ambapo Polisi wameelezea kuwa hilo ni shambulio la kigaidi na ni baya kutokea katika miaka ya hivi karibuni.
Vyombo vya habari vya Jerusalem vimemtaja mhusika aliyefanya shambulizi hilo kwa risasi kuwa ni raia wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.