simu za mkopo

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. P

    Nakopesha simu za mkopo aina ya Samsung A06, A07, A16 na A17

    Habari JF Kama kichwa kinavyojieleza ninakopesha simu za mkopo aina ya Samsung. Modeli no A06, A07,A16 na A17. Njoo na kianzio Cha shillingi elfu50 kwa Samsung A06 na A07 Ili uanze kumiliki simu Yako. Viambatanisho ni namba ya NIDA, leseni ya UDEREVA au kitambulisho cha mpiga kura. Dar...
  2. Melki Wamatukio

    Hivi makampuni ya simu za mkopo yana mpango gani na simu zinazoondolewa mkopo?

    Mtaa wetu wa Nyampulukano umekuwa mtaa wa kidigitali ghafla bin vuu Wazawa wamekopa simu kupitia makampuni ya simu za mkopo hasa hasa simu za WATU i.e samsung A05 na A06, kisha wanamtafuta Musa Mafyekeche! anatindua mikopo hiyo, watu wanaendelea kujimwaya mwaya kama kawaida Swali linakuja...
  3. Wickama

    Simu za Mkopo: Unalipia karibu simu mbili

    Wakuu, Kiufupi ukifatilia wimbi la "simu za mkopo" hususan kutoka makampuni makubwa ya mawasiliano ya simu za mikononi utagundua mteja akimaliza mkopo basi kalipia karibu simu mbili za cash. Mteja anakopa Samsung Galaxy A15 (kwa cash ni Tshs 450K) tuseme kwa mwaka. Kila siku anakatwa Tshs 2200...
  4. A

    Waliyokopa simu za Airtel wapanga kuziflashi na sababu ni hii

    Wadau habarini? Kuna watu wasema wanamiliki simu za mikopo kutoka kampuni ya Airtel. Lakini kwa siku mbili zilizopita hawapati huduma. Wanalipa pesa lakini hawafunguliwi. Wakipiga simu kutaka kujua tatizo nini, simu zao zinakatwa. Sasa wanasema bora wakaziflashi tu ili waendelee kupata huduma...
  5. Mjina Mrefu

    Connection ya simu za mkopo

    Habari wakuu, Nina goli langu moja la simu, sasa wateja wanaulizia sana simu za mkopo. Nimejaribu sana kuulizia ninapoweza pata simu za mkopo kwa bei ya Jumla nimekosa. Mwenye connection anijuze wakuu
  6. T

    Nilivyonasa kwenye mtego wa simu za mkopo

    Baada ya simu yangu ya tecno kuharibika sikuona haja ya kupoteza hela kuipeleka kwa fundi kwa sababu nilikuwa nimeitumia kwa miaka mitatu hivyo nikaona ni bora tu nikatafute simu nyingine mpya ya kutumia...
  7. Kabelwa

    security Plug simu za mkopo

    wadau naomba mwenye kufahamu jinsi ya kuitoa hii security plug maana nimemaliza huo mkopo msaada tafadhari
  8. S

    Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

    Habari zenu wana jamiiforums, nilinunua simu ya mkopo kama mwezi mmoja umepita kwa sababu sikuwa na pesa za kutosha kuniwezesha kununua simu mpya. Ila sasa nimejipata, nataka niache kuilipia hiyo simu maana deni ni kubwa. Hivi nikiacha kuilipia kuna shida yoyote nitapata, ukiachana na simu...
Back
Top Bottom