simtank

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. A

    JamiiForums Tanzania NAUZA SIMTANK LITA 8,000 TSH. 900,000

    NAUZA SIMTANK LITA 8,000 TSH. 900,000 LILINUNULIWA KWA AJILI YA BIASHARA YA CARWASH ILA MRADI HAUKUKAMILIKA, KWA MAONGEZI ZAIDI KARIBU PM
  2. U

    JamiiForums Tanzania Naomba kujua Kipenyo Cha Simtank 10000 litres na 8000 litres

    Hii nchi imejaa vilaza sana, Leo nimezunguka maduka zaidi ya matano , nahitaji simtank , lakini kabla sijanunua niliwauliza je naweza kupata specifications za matank mliyonayo haswa katika upande wa vipimo. Wakaniambia wao hawajua na hawana specification, hivyo tuchukue futi tupime, hatukuweza...
  3. MubengaJr

    JamiiForums Tanzania DOKEZO Serikali ifuatilieni hali ya ukuta wa kiwanda cha SIMTANK cha Tabata TIOT

    Naomba kuwapa taarifa kuwa kuna ukuta wa kiwanda cha SIMTANK kilichopo maeneo ya Tabata TIOT kinachopakana na Asas. Ukuta huu huenda ukaanguka muda wowote hivyo msisubiri ukuta huu ulete maafa ndio muanze kumtafuta mchawi.
  4. M

    JamiiForums Tanzania Mwanza: Nahitaji simtank

    Kama uko maeneo ya Mwanza na una Simtank used unauza, naomba tuwasiliane inbox tufanye biashara. Asante sana.
  5. Q

    JamiiForums Tanzania SOLD: Used Simtank 5000Litres yanauzwa Magomeni

    Used Simtanks mbili za Lita 5000 Kila mmoja yanauzwa Magomeni Mikumi. Kila mmoja linauzwa kwa 250,000. Kwa mawasiliano Zaidi piga namba 0687320462 au 0693890769.
  6. K

    JamiiForums Tanzania Bei ya SimTank lita 5,000 na PolyTank lita 5,000 Kwa Kigamboni

    Naomba mwenye kujua bei ya Tanks hapo juu kwa Kigamboni anisaidie kujua. Natanguliza shukrani.
Back
Top Bottom