siasa afrika

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. K

    Ushauri wa Lissu wa kizalendo wa kusogeza uchaguzi mbele sasa ndiyo mnauelewa. Tusipinge kila kitu

    Ushauri wa Lissu wa kizalendo wa kusogeza uchaguzi mbele sasa ndiyo mnaulewa! tusipinge kila kitu Lissu alitoa ushauri Samia aendelee wakati wa mchakato wa katiba ili twende kwenye uchaguzi tukiwa wamoja. Badala ya kuchukuwa huu ushauri mzuri amekuwa akibezwa na kufunguliwa kesi za uaini...
  2. GE2025 Misime: Wanaohamasisha maandamano kwa kutumia akaunti feki tutawatambua tu

    “Wanaohamasisha maandamano kwa kutumia akaunti feki wasifikiri hawawezi kutambulika, watatambulika tu, Watanzania wengi ambao ni wema wanaoipigania amani watatuambia tu huyu siyo. “Tukio kama hilo lilishawahi kutolewa siku za nyuma na walitambulika na wakachukuliwa hatua.” Hiyo ni kauli ya...
  3. Special Thread: Motivational/ Interesting/ Wise Quotes

  4. PreGE2025 Wadhamini waliofika Polisi kumdhamini Golugwa wakamatwa

    Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimedai kuwa wadhamini waliokwenda katika Kituo Kikuu cha Polisi jijini Dar es Salaam kwa ajili ya kumdhamini Naibu Katibu Mkuu Bara, Amani Golugwa, wamekamatwa na Jeshi la Polisi wakiwa kituoni hapo. Taarifa ya chama hicho imeeleza kuwa waliokamatwa...
  5. Aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya asema maisha yake yako hatarini. Aomba ulinzi binafsi kwa Inspekta Jenerali wa Polisi

    Wakuu, Wakati hapa Tanzania wapinzani wakiwa wanalalamikia kukamatwa kwa Tundu Lissu huko nchini Kenya mambo pia yameeendelea kuwa sukari. Hivi karibuni Rigathi Gachagua, aliyekuwa Naibu Rais wa Kenya, amedai kuwa kumekuwa na njama ya kumuua na kuhatarisha usalama wa familia yake tangu aondoke...
  6. Ajira za Dangote cement

    Habarini za asubuhi wakuu, mimi niko na swali kuna hizi ajira zinatangazwa na kampuni ya Dangote kila siku tunaomba ila hatupati ata majibu kuna mwanazuoni alishawahi pata hizi ajira au ata kuitwa interview atupe abc za kuomba hizi kazi tufanikiwe wote jamani😄
  7. K

    Kwa hali hii Lissu kweli ana msimamo?

    Mbowe alifanya maridhiano, ruzuku inapatikana na chama kikaendelea kujitangaza. Lakini Lissu na watu wake wanamuita msaliti na mnafiki. Leo humu Jamiiforums kunapita thread ya kumpongeza Lissu kwa mara ya kwanza ruzuku ya chama imepita kwenye akaunti ya chama. Mimi nilitegemea, kwa kuwa Lissu...
  8. A

    Ifikie hatua vyama vya siasa viwe na katiba ya kuwa na wabunge na madiwani wenye elimu ya degree

    Kweli au uongo
  9. J

    Ukiangalia Siasa za Kenya zilivyofeli utakubali Ukweli' kuwa CCM ndio baba wa Siasa Afrika Mashariki!

    Huo ndio ukweli CCM ni baba wa Siasa za Africa Mashariki Ukiangalia sinema ya Ruto kumtoa Gachagua utagundua Siasa za Jirani zimefeli kwa haraka sana Makanga na Dereva wote Must Go 😂😂😂😂
  10. Msamiati wa dodo kwenye uchaguzi wa "EALA" na Mtazamo wa vijana katika siasa

    Kwa aliye fuatilia kampeni za kuziba pengo liloachwa na Dk Shogo Mlozi aliyekuwa mbunge wa Bunge la Afrika Mashariki R.I.P.kwake Kuna kabinti kamejitokeza kwanza nampa hongera kwa ujasiri na uthubutu wa kuamua kugombea lakini kuna kitu. Amenishangaza katika kujinadi kwake Kwanza kasema yeye...
  11. W

    Tume ya Uchaguzi Tunisia kupuuza uamuzi wa Mahakama wa kuwarejesha Wagombea watatu wa Urais

    Tume ya uchaguzi ya Tunisia imeidhinisha wagombea watatu pekee kugombea katika uchaguzi wa urais mwezi Oktoba 6, 2024, ikipuuza uamuzi wa mahakama wa kuwarejesha wagombea wengine watatu. Wagombea hao ni Mbunge wa zamani Zouhair Maghzaoui, Mfanyabiashara Ayachi Zammel na Rais wa sasa Kais Saied...
  12. Tetesi: JE? siasa ni mchezo mchafu

    Mchezo huo mchafu unaamua nani awe Rais wa nchi 2. Mchezo huu mchafu unaamua nani awe Makamu wa Rais 3. Mchezo huu mchafu unaamua nani awe Waziri mkuu 4. Mchezo huu mchafu unaamua nani awe Waziri 5. Mchezo huu mchafu unaamua nani awe Mkuu wa majeshi, Mkuu wa Jeshi la Polisi, Mkuu wa Idara ya...
  13. D

    Mmeona sasa utofauti kati ya Uwajibikaji wa Wazungu na Waafrika? Kwetu Rais mpaka afie madarani vinginevyo hatoki!

    Kila siku tunawaambia ya kuwa Wazungu ile ni race ambayo ina akili sana na huenda taifa pendwa la Mungu. Angalia Joe Biden ameamua kujiuzulu kugombea Urais kisa uzee na shinikizo la watu kutaka afanye hivyo. Pia soma: Joe Biden ajitoa kugombea Urais wa Marekani 2024 Huku kwetu Africa, Rais...
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…