shirika la reli tanzania

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Waufukweni

    Serikali yakamilisha upembuzi wa reli ya SGR Mtwara–Bamba Bay

    Serikali kupitia Shirika la Reli Tanzania (TRC), imekamilisha kazi ya upembuzi yakinifu na usanifu wa awali kwa ajili ya ujenzi wa reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) kutoka Mtwara-Mbambabay pamoja na matawi yake ya Liganga na Mchuchuma yenye jumla ya urefu wa kilometa 1,000. Taarifa hiyo...
  2. K

    Pongezi kwa Shirika La Reli Tanzania (TRC)

    Nimewiwa kutoa pongezi za dhati kwa shirika la reli Tanzania (TRC) kwa huduma nzuri. Kwa wale mliopata bahati kusafiri na tren ya mwendokasi na dhani mmejionea hudumazao. Yani kuanzia kujali muda, mazingira na hata kutoa taarifa. Ukweli mmekidhi viwango vya kimataifa. Kwa mara zote...
  3. R

    Shirika la Reli Tanzania ( TRC) yakanusha madai ya kusimama kwa ujenzi wa SGR

    Shirika la Reli Tanzania @tzrailways limewataka wananchi kutupilia mbali upotoshaji wa makusud i unaofanywa na baadhi ya watu kuwa mradi wa SGR umesimama na kwamba tayari Shirika limeshapata mkandarasi wa ujenzi wa ujenzi wa vipande mpaka Mwanza na pia Tabora mpaka Kigoma kwa maana ya Uvinza...
  4. Mkalukungone Mwamba

    TRC waomba radhi kutokana na tatizo la upatikanaji wa tiketi kwa njia ya mtandao usiku wa kuamkia Machi 19, 2025

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kutokana na tatizo la upatikanaji wa tiketi kwa njia ya mtandao (online) kuanzia usiku wa manane kuamkia leo Machi 19, 2025. Hata hivyo licha ya changamoto hiyo ya upatikanaji wa tiketi za SGR kwa njia ya mtandao, tiketi ziliendelea kutolewa kwenye...
  5. Mganguzi

    Shirika la reli Tanzania linaongoza kwa kutolipa stahiki za wastaafu

    Wazee wetu waliolitumikia shirika la reli Tanzania kwa jasho na damu asilimia kubwa kwa sasa wamepoteza maisha na wengine wako hoi vitandani na ama wako hoi kimaisha! Serikali kupitia shirika la reli TRC wanatangaza mafanikio ya SGR na kununua vichwa vipya vya train za kisasa na kujenga reli...
  6. Anti-tozo

    Utaratibu mbovu wa shirika letu la reli (TRC), wataka abiria kuandika barua ili kurudishiwa nauli

    😂😂😂😂 hii ya kuandika barua imeniacha hoi jamani loooh! Soma: Shirika la Reli Tanzania (TRC) laomba radhi kutokana na kuchelewa kwa safari kulikosababishwa na changamoto zilizo nje ya uwezo wao
  7. Nyendo

    Shirika la Reli Tanzania (TRC) laomba radhi kutokana na kuchelewa kwa safari kulikosababishwa na changamoto zilizo nje ya uwezo wao

    Treni ya Mwendokasi inayofanya safari zake Dar es salaam - Dodoma, ilisimama kwa saa kadhaa maeneo ya Ngerengere usiku wa kuamkia leo September 10,2024 na baadhi abiria wakajirekodi video wakionesha kuwa wamesimama katika eneo hilo. Shirika la Reli Tanzania (TRC) limeomba radhi kwa abiria...
  8. Cute Wife

    TRC yatolea ufanunuzi kuzimika kwa treni ya SGR Julai 30, 2024 katikati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete

    TAARIFA KWA UMMA HITILAFU YA UMEME KATI YA KILOSA NA KIDETE Dar es Salaam, Tarehe 31 Julai 2024 Shirika la Reli Tanzania (TRC) linaomba radhi kufuatia hitilafu ya umeme iliyojitokeza kati ya Stesheni ya Kilosa na Kidete na kusababisha treni ya reli ya kiwango cha kimataifa (SGR) iliyokuwa...
  9. Mr Why

    Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuimarisha Mashirika yake matatu, TRC, Air Tanzania, na Posta. Wananchi tunasubiri TTCL na BRT

    Hatimaye Serikali ya Tanzania imefanikiwa kuimarisha Mashirika yake matatu, TRC, Air Tanzania, POSTA, Wananchi tunasubiri TTCL na BRT. Hongera sana Serikali ya Tanzania kwa kufanikiwa kurejesha heshima ya nchi iliyokuwa imepotea kwa muda mrefu mmejitahidi sana. Miakaka ya nyuma hatukuwa na...
  10. Stephano Mgendanyi

    Ziara ya UVCCM Katika Shirika la Reli Tanzania (TRC)

    🛑ZIARA YA UVCCM SHIRIKA LA RELI TANZANIA (TRC) Viongozi wa Umoja wa Vijana wa Chama Cha Mapinduzi wakiongoza Mwenyekiti Ndugu Mohammed Ali Kawaida (MCC) wamefika kituo Cha reli ya kisasa (SGR) cha Dar es salaam na kupokelewa na Mkurugenzi wa shirika la Reli Tanzania (TRC) Masanja Kadogosa...
Back
Top Bottom