Samia al-Amoudi (Arabic: ساميه العمودي) is a Saudi Arabian obstetrician and gynecologist, healthcare activist and professor. She is the head of the Sheikh Mohammed Hussein Al-Amoudi Center of Excellence in breast cancer. She is best known for her work in raising breast cancer awareness, after diagnosing herself with the disease. She is also the first woman from the Gulf Cooperation Council to sit on the Union for International Cancer Control board.
Makamu mwenyekiti wa CHADEMA bara John Heche amesema kuwa Rais Samia hana uhalali wakuiongoza nchi yetu kwa kuwa serikali yake ni haramu na ni mtawala asiye halali.
Ameyasema hayo leo Desemba 11,2025 wakati akizungumza na waandishi wa habari akiwaambia kuwa huo ndio msimamo wa chama hicho...
Habarini,ni wazi uongozi au jeshi bora siku zote hutikana na watu wake wa chini kuwa bora kwa uadirifu katika nidhamu,hekima,ukweli na uwajibikaji.
Wasaidizi wengi wa Rais ni mamburura wa kutupa wanaomuingiza chaka Rais kwa kumpa taarifa za uongo na utendaji kazi wao mbovu.
MaRC, maDc, maDas...
Samia hana uwezo wa kutoka kuingia mitaani kuongea na wananchi kadri anavyo endelea kuuwa wananchi ndio anaongeza hasira watu.
washauri wake ni akina kingwendu au ? samahani kingwendu.
Team!
Jana nilifuatilia kwa karibu wasilisho la Balozi Polepole na usiku huu nimerudia kusikiliza hoja yake kuhusu Rais kutogombea kwa hoja inayojengwa juu ya utamaduni. Hizi ni fikra mbovu kiasi fulani.
# Wapi ilikoandikwa ktk Katiba kuwa VP, PM, Speaker hawaruhusiwi kuwa Rais miongoni mwao...
Rais Samia akishiriki Harambee ya Kuchangia Ujenzi wa Kituo cha Watoto wenye Mahitaji Maluum Kanisa la KKKT Ukumbi wa Diamond Jubilee Dar es salaam, leo tarehe 5 Juni, 2025.
===============================
RC Chalamila:
"Nikupe pole Rais Samia. Tunaona kwenye mitandao wachache katika Taifa...
Akiwa kwenye muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi wa Serikali za Mitaa, Mjini Tarime Tundu Lissu amesemaRais Dkt. Samia hana tofauti na mtangulizi wake hayati John Magufuli, tofauti yao ni jinsia tu. Ana honga watu kwa hela ya wizi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.